Pamba Jiji ilivyojipanga kurejesha hadhi yake

PAMBA Jiji maarufu kama TP Lindanda ‘Wana Kawekamo’ wanarudi Ligi Kuu baada ya miaka 23 tangu waliposhuka daraja mwaka 2000, na Ijumaa itacheza mchezo wake wa kwanza wa michuano hiyo itakapofungua pazia la Ligi Kuu dhidi ya Tanzania Prisons katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Pamba ni miongoni mwa timu zenye umaarufu na historia…

Read More

Urusi, Ukraine mambo yazidi kuwa mabaya – DW – 14.08.2024

Kampuni inayoendesha mitambo ya umeme nchini Ukraine, Ukrenergo, ilisema kupitia mtandao wa Telegram kwamba kinu cha nishati kwenye mkoa wa kusini mwa nchi hiyo kilishambuliwa asubuhi ya Jumatano (Agosti 14).  Ndege zisizo rubani za Urusi zilitumika kushambulia kinu chengine kama hicho cha mkoa wa Chernihiv ulioko kaskazini mwa Ukraine usiku wa kuamkia Jumatano na kusababisha…

Read More

Simba yamalizana na Israel Mwenda

HATIMAYE sakata la mlinzi wa kulia, Israel Mwenda na Simba limemalizika baada ya klabu hiyo kukubali ombi lake la kuomba kuondoka na kujiunga na timu nyingine. Taarifa ya Klabu ya Simba imebainisha kwamba, beki huyo wa kulia aliyejiunga na timu hiyo Agosti 2021 akitokea KMC, ameruhusiwa na uongozi wa wekundu hao kuondoka baada ya kuomba…

Read More

WANASIASA TUCHUNGE NDIMI ZETU-NCHIMBI – Mzalendo

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewataka wanasiasa nchini, kutumia vizuri ndimi zao na kamwe wasitoe matamshi ambayo yanaweza kuhatarisha amani na utulivu nchini. Balozi Dk. Nchimbi ameyasema hayo Jumanne Agosti 13, 2024 alipokua akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Uwanja, Geita…

Read More

JIWE LA SIKU: Tatizo Simba sio straika

HAKUNA asiyejua kama Simba kwa sasa ni mpya. Timu hiyo iliyomaliza nafasi ya tatu msimu uliopita imeundwa upya. Ina benchi jipya kabisa la ufundi chini ya Fadlu Davids. Imesajili wachezaji wapya 13. Ni zaidi ya kikosi kizima kuonyesha kwamba Simba kwa sasa ndo kwanza inaanza kujitafuta. Kumbuka ni wiki kama mbili tu, imetoka kambini huko…

Read More

UCHAGUZI WA MBUNGE WA EALA KUFANYIKA AGOSTI 27, 2024

Katibu wa Bunge anatoa Taarifa kwa Umma kwamba Uchaguzi wa Mjumbe Mmoja (1) atakayejaza nafasi wazi ya Kundi la Wanawake kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki, utafanyika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Mkutano wa Kumi na Sita unaotarajiwa kuanza…

Read More