WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CUBA

-Aahidi kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali za Tanzania na Cuba zitaendelea kushirikiana katika sekta za Elimu, Afya, Kilimo, Utalii na Masuala ya Teknolojia. Ameeleza hayo baada ya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador Valdes Mesa yaliyofanyika Revolutionary Square, Havana nchini Agosti 13, 2024. Mheshimiwa Majaliwa…

Read More

Sakata la kina Mbowe ni kusigina 4R za Rais Samia

Agosti 10 (Jumapili) na Agosti 11 (Jumatatu), 2024, ni siku ambazo zimerejesha tafakuri nzito. Ndani ya siku hizo mbili, viongozi wa juu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), walikamatwa na kuwekwa mahabusu, Mbeya. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti Chadema, Tanzania Bara, Tundu Lissu, Katibu Mkuu Chadema, John Mnyika, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya…

Read More

Tufikirie kununua majenereta kuendeshea treni ya SgR!

Baada ya kuwafyatua kwa SgR kufanya majaribio, nilionya kuwa safari zingeanza pindi mwana wa Adam­­­ yule fyatu wa Kiyahudi anayeabudiwa na wengi duniani hadi wenzake wanasema kwa nini tusiwaabudie wote wakati hawana lolote zaidi ya mikwara na kujiona bora kuliko wengine wakati ni hovyo, si waliamua kunifyatua na kujifyatua na kuanza majaribio. Nikiri. Nilikosea. Juzi…

Read More

Homa ya nyani yatangazwa dharura ya kiafya Afrika

Dar es Salaam. Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika (Africa CDC) limetangaza dharura ya afya kwa umma kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Mpox. Hatua hiyo imekuja wakati ugonjwa huo unasambaa barani Afrika, ikieleza  lengo ni wito wa wazi wa kuchukua hatua. Kufuatia hali hiyo pia Shirika la Afya Duniani (WHO) likitarajia kukutana…

Read More

Mke wangu ananiomba msamaha baada ya mama yake kudai nimembaka

Huku duniani kuna mambo ukiambiwa unaweza kujiuliza inawezekanaje lakini ukweli ni kwamba mambo hayo yapo na wanafanywa na ni binadamu ambao kila siku wanaenda kwenye nyumba za ibada kusali. Siwezi kusahau miaka mitatu iliyopita ambapo mama mkwe wangu alinifungulia kesi mahakamni kuwa nilitaka kumbaka akiwa nyumbani kwake jambo ambalo sio la kweli. Nilikamatwa na kufikishwa…

Read More