KMC YAMREJESHA KIKOSINI AWESU AWESU, UBAYA UBWELA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Klabu ya KMC FC imetangaza kumrudisha nyumbani Kiungo wake,Awesu Ally Awesu ambaye siku kadhaa nyuma alitambulishwa kama Mchezaji wa Simba. Awesu anarejea KMC baada ya kushindwa kesi TFF ambayo timu yake ilimshitaki kuvunja mkataba kutokufuata utaratibu na kutimukia katika klabu ya Simba. Bodi ya Ligi na haki za wachezaji…