Ni Meridianbet tena ndani ya Kijitonyama

  Meridianbet tena ndani ya Kijitonyama ndivyo unavyoweza kusema kwakua leo tena wamefanikiwa kufika kwenye eneo hilo na kutoa msaada wa vifaa vya michezo kwa timu mbili ambazo zinapatikana maeneo hayo. Huu ni utamaduni ambao wameujenga Meridianbet kwa muda mrefu kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii, Hivo leo wameamua kurudisha kwenye jamii kwa kutoa msaada wa vifaa…

Read More

Dk Biteko azindua kituo cha kupokea, kupooza umeme GGML

Geita. Mgodi wa Uchimbaji Madini ya Dhahabu wa Geita (GGML), umeandika historia baada ya  kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza kutokana na kukamilika kwa ujenzi wa kituo cha kupokea na kupooza umeme. Kituo hicho kimejengwa kwa gharama ya Dola 25.8 milioni (Sh67.08 bilioni). Mgodi huo ulioanza kufanya kazi mwaka 2000,…

Read More

Mfumko wa bei wapungua, sababu yatajwa

Unguja. Mfumko wa bei kwa kipindi cha miezi 12 hadi kifikia Julai 2024 umepungua na kufikia asilimia 5.26 kutoka asilimia 5.65 iliyorekodiwa kwa kipindi cha Juni mwaka jana, Zanzibar. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Agosti 13, 2024 mtakwimu kutoka divisheni ya takwimu na bei, Hassan Jamal Hassan amesema kundi la bidhaa za chakula na…

Read More