Wataalamu 250 wa afya ulimwenguni kukutana Tanzania
Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kisayansi la Kimataifa la Matumizi ya Mawimbi Sauti katika Tiba (ISMRM) pamoja na Tiba ya Mishipa ya Fahamu (Neuroradiology) litakalofanyika Septemba 19 hadi 20, 2024 jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo limeratibiwa nchini na Chama cha Madaktari Bingwa wa Rediolojia Tanzania (Taraso); Chama cha Wataalamu…