Badru Amshukuru Dkt. Samia Mazingira Bora ya Biashara Nchini
* Wawekezaji Faida Fund juu takriban 60%! * Faida, Thamani, Ukubwa wa Mfuko Vyapaa! * Faida Kuongezeka, Mifumo Kuboreshwa! (Aishukuru Serikali, Wadau kwa Mafanikio. Na Derek Murusuri, Royal Publishers, Dar es Salaam 13 Agosti, 2024 MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wawekezaji wa Mfuko wa Faida (Faida Fund), Bw. Abdul-Razak Badru, amemshukuru Rais Dkt. Samia…