Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ngurah Rai Bali,
Month: August 2024

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuunga mkono juhudi za madhehebu ya dini katika kujenga miundombinu mbalimbali

Dodoma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amewataka watu kununua bidhaa zinazozalishwa nchini, ili kujenga uchumi na sio kulalamika katika mitandao ya kijamii. Dk Mwigulu

Dar es Salaam. Wadau wa biashara wameeleza kuwa kampuni changa nchini zinakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mtaji, jambo ambalo linaathiri uendelevu wake. Wanasema ili

Mbeya. Wakati Tanzania ikitarajia kufanya uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge Viti Maalum, Sophia Mwanagenda amewataka wanaume kujifungia ndani ili waonyeshwe uwezo wa kuongoza kutoka kwa wanawake.

Bunda. Zaidi ya nyumba 55 za wakazi wa Kijiji cha Salama A wilayani Bunda, Mkoa wa Mara zimeezuliwa na kubomolewa na mvua iliyoambatana na upepo

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid amesema jambo kubwa linalomuumiza kichwa ni kushindwa kufikisha angalau mabao 10 kwa msimu katika Ligi Kuu Bara tofauti na

Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar leo Ijumaa Agosti 30, 2024, imetembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa uwanja wa

Unguja. Wakati Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 ikiwa katika hatua ya kwanza ya kutafuta maoni, timu kuu ya wataalamu imetaja mambo makuu matano

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka Mamlaka za serikali pamoja na wawekezeji kutoka sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika