Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 2
Habari

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi, awasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ngurah Rai Bali, Indonesia

August 31, 2024 Admin

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ngurah Rai Bali,

Read More
Habari

KIMEI ACHANGIA SHILINGI MILIONI TANO UJENZI WA MADRASA MSIKITI MKUU WA TAQWA – BAKWATA KAHE

August 31, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. MBUNGE wa Jimbo la Vunjo Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuunga mkono juhudi za madhehebu ya dini katika kujenga miundombinu mbalimbali

Read More
Habari

Dk Mwigulu afunguka uhaba wa Dola Tanzania

August 31, 2024 Admin

Dodoma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amewataka watu kununua bidhaa zinazozalishwa nchini,  ili kujenga uchumi na sio kulalamika katika mitandao ya kijamii. Dk Mwigulu

Read More
Habari

Mitaji inavyoua kampuni changa Tanzania

August 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wadau wa biashara wameeleza kuwa kampuni changa nchini zinakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mtaji, jambo ambalo linaathiri uendelevu wake. Wanasema ili

Read More
Habari

2025 mwaka wa  uchaguzi wa wanawake kuonyesha uwezo

August 31, 2024 Admin

Mbeya. Wakati Tanzania ikitarajia kufanya uchaguzi mkuu mwakani,  Mbunge Viti Maalum, Sophia Mwanagenda amewataka wanaume kujifungia ndani ili waonyeshwe uwezo wa  kuongoza kutoka kwa wanawake.

Read More
Habari

Mvua yakosesha makazi kaya 55 Bunda

August 31, 2024 Admin

Bunda. Zaidi ya nyumba 55 za wakazi wa Kijiji cha Salama A wilayani Bunda, Mkoa wa Mara zimeezuliwa na kubomolewa na mvua iliyoambatana na upepo

Read More
Michezo

Rekodi ya Zenji yamtesa Maabad

August 31, 2024 Admin

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid amesema jambo kubwa linalomuumiza kichwa ni kushindwa kufikisha angalau mabao 10 kwa msimu katika Ligi Kuu Bara tofauti na

Read More
Habari

Kamati ya mawasiliano,ardhi na nishati Zanzibar yasifu uwekezaji kwenye ujenzi wa miundombinu ya viwanja vya ndege

August 31, 2024 Admin

Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar leo Ijumaa Agosti 30, 2024, imetembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa uwanja wa

Read More
Habari

Vipaumbele vitano wataka vizingatiwe dira ya Taifa 2050

August 31, 2024 Admin

Unguja. Wakati Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 ikiwa katika hatua ya kwanza ya kutafuta maoni, timu kuu ya wataalamu imetaja mambo makuu matano

Read More
Habari

DKT NCHEMBA AZITAKA MAMLAKA ZA SERIKALI NA WAWEKEZAJI KUTOKA SEKTA BINAFSI KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KATIKA SHERIA YA PPP

August 31, 2024 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka Mamlaka za serikali pamoja na wawekezeji kutoka sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika

Read More

Posts pagination

Previous 1 2 3 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.