Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 20
Habari

Wahudumu hoteli watakiwa kukabili usafirishaji haramu binadamu

August 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wadau takribani 15 wa sekta ya hoteli nchini wametakiwa kukabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu kwa kutambua viashiria na kutoa taarifa kwenye

Read More
Habari

SUA, MWECAU NA UDSM WANUFAIKA NA MRADI WA CONTAN

August 29, 2024 Admin

Wanafunzi pamoja na Wahadhiri kutoka Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), MWECAU pamoja na UDSM wamejengewa uwezo wa kufanya tafiti za kutambua viumbe hai

Read More
Habari

Kampuni ya TOL Gases Plc yafanya Mkutano wa 29 wa Mwaka wa Wanahisa 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 29, 2024 Admin

Kampuni ya TOL Gases PLC, Leo mapema imefanikiwa kufanya Mkutano mkuu wa Wanahisa 2024 uliolenga kutazama mikakati ya kuikuza zaidi kampuni hio ili kufikia ufanisi

Read More
Habari

Rais Samia atunuku Nishani ya miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi

August 29, 2024 Admin

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia Suluhu Hassan, ametunuku Nishani ya miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo Agosti

Read More
Habari

NFRA kununua tani 100,000 za mahindi Rukwa

August 29, 2024 Admin

Rukwa. Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) anatarajia kununua tani 100,000 za mahindi kwa wakulima mkoani Rukwa kupitia mfumo maalumu wa kidigitali. Sambamba

Read More
Habari

Maofisa ustawi wa jamii waonywa kupoteza ushahidi kwa rushwa

August 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Kinondoni mkoani hapa imewaonya maofisa ustawi wa jamii kujiepusha na tabia ya kula

Read More
Habari

TBS YAWAFIKIA WATU 6,597 KWENYE KAMPENI YA ELIMU KWA UMMA KATIKA WILAYA TANO

August 29, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu WATU 6,597 miongoni mwao wakiwemo wajasiriamali 97 katika wilaya tano za Karatu, Ngorongoro- Loliondo, Monduli, Longido na Arusha DC wamepatiwa elimu na

Read More
Habari

NIT YATOA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI

August 29, 2024 Admin

  Sajenti wa polisi Asha Abdul kutoka makao makuu ya kikosi cha Usalama barabarani makao makuu Dar es Salaam Dawati la elimu kwa umma  akitoa

Read More
Habari

Muswada sheria hifadhi za jamii kicheko kwa wanachama

August 29, 2024 Admin

Dodoma. Bunge limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii wa mwaka 2024, ambapo sasa mwanachama wa mfuko atalipwa mafao bila kujali kama

Read More
Habari

Viungo vya mtoto aliyepotea vyadaiwa kuonekana Shinyanga

August 29, 2024 Admin

Shinyanga. Viungo vinavyodhaniwa kuwa vya mwanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Tinde B mkoani Shinyanga, Junior Maganga (7) vimeonekana wilayani humo, baada mtoto

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 19 20 21 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.