Wahudumu hoteli watakiwa kukabili usafirishaji haramu binadamu

Dar es Salaam. Wadau takribani 15 wa sekta ya hoteli nchini wametakiwa kukabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu kwa kutambua viashiria na kutoa taarifa kwenye mamlaka za Serikali. Hayo yameelezwa Agosti 29, 2024 Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Mtandao wa Taifa Wakupambana na Usafirishaji haramu wa binadamu Tanzania, Edwin Mugambila katika ufunguzi wa mafunzo…

Read More

SUA, MWECAU NA UDSM WANUFAIKA NA MRADI WA CONTAN

Wanafunzi pamoja na Wahadhiri kutoka Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), MWECAU pamoja na UDSM wamejengewa uwezo wa kufanya tafiti za kutambua viumbe hai vilivyokaribuni kutoweka na kupatiwa vifaa vya kitaalamu vitakavyowawezesha kupima na kuhifadhi sampuli za viumbe hai hivyo kupitia mradi wa CONTAN unaofadhiliwa  na Umoja wa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la wadau,…

Read More

Kampuni ya TOL Gases Plc yafanya Mkutano wa 29 wa Mwaka wa Wanahisa 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya TOL Gases PLC, Leo mapema imefanikiwa kufanya Mkutano mkuu wa Wanahisa 2024 uliolenga kutazama mikakati ya kuikuza zaidi kampuni hio ili kufikia ufanisi mkubwa zaidi kwenye Soko lake. Kupitia mkutano huo uliofanyika Mlimani City Conference Centre, mengi yameweza kubainishwa na kujadiliwa kwa kina hadi kupekekea maridhiano yalipatikana kwa mapendekezo kutoka kwa Viongozi wa…

Read More

NFRA kununua tani 100,000 za mahindi Rukwa

Rukwa. Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) anatarajia kununua tani 100,000 za mahindi kwa wakulima mkoani Rukwa kupitia mfumo maalumu wa kidigitali. Sambamba na mkakati huo, NFRA imehamasisha wakulima wadogo na wafanyabiashara kuuza mazao katika vituo mbalimbali vilivyopo kila wilaya na kuepukana na matapeli. Hatua hiyo imekuja baada ya Serikali kuja na mfumo…

Read More

Maofisa ustawi wa jamii waonywa kupoteza ushahidi kwa rushwa

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Kinondoni mkoani hapa imewaonya maofisa ustawi wa jamii kujiepusha na tabia ya kula rushwa ili wapoteze ushahidi katika malalamiko ya wananchi yanayotakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Hayo yamesemwa leo Agosti 29, 2024 na Kaimu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kinondoni kwa mfumo…

Read More

NIT YATOA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI

  Sajenti wa polisi Asha Abdul kutoka makao makuu ya kikosi cha Usalama barabarani makao makuu Dar es Salaam Dawati la elimu kwa umma  akitoa vifaa kwa wanafunzi wa shule ya msingi Uhuru iliyopo Jijini Dodoma. …… Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia kituo chake cha Umahiri cha Kikanda Katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana…

Read More

Muswada sheria hifadhi za jamii kicheko kwa wanachama

Dodoma. Bunge limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii wa mwaka 2024, ambapo sasa mwanachama wa mfuko atalipwa mafao bila kujali kama mwajiri amekamilisha kuwasillisha michango kwenye mfuko ama la. Hii ni tofauti na ilivyokuwa awali, mwanachama alipostaafu na kama mwajiri hakukamilisha michango alitakiwa kufuatilia ikamilike kwanza, hoja iliyoibua maswali mengi kwa…

Read More

Viungo vya mtoto aliyepotea vyadaiwa kuonekana Shinyanga

Shinyanga. Viungo vinavyodhaniwa kuwa vya mwanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Tinde B mkoani Shinyanga, Junior Maganga (7) vimeonekana wilayani humo, baada mtoto huyo kupotea tangu Agosti 22, 2024. Akithibitisha tukio hilo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amesema tukio hilo limetokea Agosti 27, mwaka huu katika…

Read More