Sheikh Hasina akabiliwa na shtaka la mauaji – DW – 13.08.2024

Wakili wa mlalamikaji katika kesi hiyo, Anwarul Islam, amesema kuwa mahakama kuu mjini Dhakar imeagiza uchunguzi kufanyika kubainisha jukumu la Hasina katika mauaji ya Saeed. Soma pia:Maandamano ya wanafunzi Bangladesh yawalazimisha Jaji Mkuu na Gavana wa Benki Kuu kujiuzulu Kesi hiyo iliyowasilishwa na Amir Hamza ilikubaliwa na mahakama hiyo baada ya kusikilizwa. Islam ameongeza kuwa…

Read More

Wahamiaji haramu 21 wadakwa Mara

Musoma. Jeshi la Uhamiaji mkoani Mara limewakamata wahamiaji haramu 21 wanaodaiwa kuingia nchini kinyume cha sheria, kati yao wamo watoto wawili raia wa Burundi na Uganda. Watu hao walikamatwa katika maeneo mbalimbali mkoani Mara, ikiwamo kwenye kizuizi cha magari kilichopo Kijiji cha Kirumi, wilayani Rorya na kwenye daraja la Mto Mara. Ofisa Uhamiaji Mkoa wa…

Read More

Matampi awaibukia Waangola | Mwanaspoti

KIKOSI cha wachezaji 22 cha Coastal Union na benchi lote la ufundi, alfajiri ya kesho Jumatano kimeanza safari kuifuata AS Bravo ya Angola huku kipa namba moja na timu hiyo, Ley Matampi akijumuishwa. Coastal Union ambayo inaiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Jumamosi ya wiki hii inatarajiwa kupambana na Waangola hao katika…

Read More

Makamu wa rais afungua mkutano wa elimu EAC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki inaweza kutumia vema idadi kubwa ya watu iliyopo hususani vijana katika kujiletea maendeleo kama itawekeza zaidi katika Elimu na Afya ya watoto. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati akifungua Mkutano wa Elimu wa Kikanda wa Jumuiya…

Read More

TCCIA yataka wadau washiriki mkutano wa Halal k

Na Mwandishi CHEMBA ya  Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), kimetoa wito kwa wafanyabiashara kote nchini kushiriki mkutano utakaotoa elimu ya bure kuhusu namna ya kupata cheti cha Halal kwenye bidhaa zao. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TCCIA, Oscar Kisanga, wakati akizungumzia mkutano huo utakaofanyika kwenye ukumbi wa Kimataifa wa…

Read More