Mwalimu augua, kesi yashindwa kusikilizwa

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeshindwa kuendelea na usikilizwaji wa kesi ya kulawiti mtoto mwenye ulemavu inayomkabili, mwalimu wa mafunzo kwa vitendo, Frank Mpogoma. Kesi hiyo imeshindwa kuendelea kutokana na mshtakiwa kuugua wakati alipofikishwa mahakamani kwa ajili ya kuanza kujitetea. Mpogoma ambaye ni mwalimu wa mafunzo kwa vitendo kutoka…

Read More

Bakari Mwamnyeto: Sergio Ramos wa Bongo

SERGIO Ramos Garcia licha ya kwamba alizaliwa na kuanza maisha yake ya soka ndani ya Klabu ya Sevilla lakini ni moja ya wachezaji wanaoheshimika vilivyo Real Madrid. Heshima ya Ramos Madrid inakuja kwa sababu ya kuiongoza katika mafanikio makubwa akiwa mchezaji wa kawaida na hata pale alipokuwa nahodha akipokea kitambaa kutoka kwa Iker Casillas mwaka…

Read More

Polisi yaibua mapya sakata la Mbowe, wenzake

Mbeya. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema viongozi na wanachama wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wakishikiliwa wameachiwa huru na kusafirishwa kwa ulinzi wa jeshi hilo hadi maeneo walikotoka wakiwamo wa jijini Dar es Salaam. Jeshi hilo limesisitiza iwapo kuna mtu aliyekuwa ameshikiliwa na hajulikani alipo, familia zao ziulizwe kwa kuwa kila…

Read More

Azam Complex inavyogeuka kimbilio la klabu Afrika

Dar es Salaam. Idadi ya timu sita zinazoshiriki mashindano ya klabu Afrika yatakayoanza mwishoni mwa wiki hii zitatumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Sababu tofauti zimechangia kuzifanya timu hizo kuchagua uwanja huo unaomilikiwa na Azam FC ambazo ni usalama duni katika baadhi ya nchi ambazo timu hizo zinatoka na pia timu…

Read More

Bakari Mwamnyeto: Sergio Ramos wa Yanga

SERGIO Ramos Garcia licha ya kwamba alizaliwa na kuanza maisha yake ya soka ndani ya Klabu ya Sevilla lakini ni moja ya wachezaji wanaoheshimika vilivyo Real Madrid. Heshima ya Ramos Madrid inakuja kwa sababu ya kuiongoza katika mafanikio makubwa akiwa mchezaji wa kawaida na hata pale alipokuwa nahodha akipokea kitambaa kutoka kwa Iker Casillas mwaka…

Read More