FCS yaiomba Serikali kuangazia upatikanaji wa miundombinu ya kidigitali kwa makundi maalum

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Asasi za kiraia nchini, kupitia Shirika la The Foundation for Civil Society (FCS), zimeiomba Serikali kuhakikisha makundi maalum, hususan watu wenye ulemavu, wanapatiwa miundombinu ya kidigitali ili waweze kushiriki kikamilifu katika michakato ya maendeleo na kujijenga kiuchumi. Ombi hilo lilitolewa na Meneja Programu wa FCS, Nasim Losai, katika mkutano wa…

Read More

H Money atupa jiwe ‘Tic Tik’ akiwa na Reekado Banks

  PRODYUZA wa muziki wa kimataifa Harmony Samuels a.k.a H Money, ameachia wimbo wake mpya uitwao  “Tic Tik” akiwa amemshirikisha  gwiji kutoka Nigeria, Reekado Banks. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika wimbo huo wenye mikito ya Kinigeria, ladha tamu kutoka kwa H-Money akiungana na Reekado, unatengeneza burudani ya aina yake ya mtindo wa Afrobeats uliotayarishwa kwa…

Read More

Mwanafunzi adaiwa kumuua mwalimu wake kwa risasi

Michigan. Mtoto wa kike (8) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ford huko Detroit Michigan, Marekani amedaiwa kumuua mwalimu wake kwa kumpiga risasi. Mwalimu huyo wa mazoezi ya viungo Jim Turner (56) alifariki dunia jana Agosti 12, 2024 baada ya mtoto huyo kumuua kwa kutumia bunduki ya baba yake aliyokwenda nayo shule. Kwa…

Read More

ASASI ZA KIRAIA WAOMBA SERIKALI KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM

  Na Mwandishi wetu, DAR ES SALAAM Asasi za Kiraia nchini kupitia Shirika la The Foundation for Civil Society (FCS), imeiomba Serikali iangazie katika kuhakikisha makundi maalum yanawezeshwa kufikia miundombinu ya kidigitali ili waweze kushiriki katika michakato ya maendeleo na kujiimarisha kiuchumi. Hayo yamesemwa na Meneja Programu wa FCS Bi. Nasim Losai katika mkutano wa…

Read More