Unavyoweza kutajirika kupitia bahati nasibu, mbinu ya kushinda!
Kila mtu ambaye amefanikiwa katika haya maisha anajua ni njia gani ambayo ameipitia na kuweza kufanikiwa, wengi hufanya siri kwenye jambo hilo ili kuwaepusha na watu wenye macho mabaya. Wengine hawasemi wamefanikiwa kupitia njia zipi kutokana walifanya mambo mabaya kama wizi, ushirikina, mauaji na utapeli kupata utajiri wao, hivyo inabaki kuwa siri yao na kusema…