Gamondi achimba mkwara mzito, Injinia Hersi atia neno

MASHABIKI wa Yanga wanatamba wanavyotaka, hata salamu zao tu zimekaa kwa kejeli wakitambia mwanzo wa msimu wakianza kwa kuchukua mataji wakiwachapa vigogo Simba na Azam lakini kuna kauli ameitoa kocha wao, Miguel Gamondi inazishtua timu pinzani. Kocha Gamondi ametamka kwamba wala hana presha ikitokea timu yake imetangulia kuruhusu bao kwa kuwa hata wachezaji wake wanafanya…

Read More

Simba yashusha straika jionii… Ngoma,Ayoub hatihati

SIMBA imefikia uamuzi wa kushusha straika dakika za jioni kabla ya dirisha la usajili halijafungwa Agosti 15, mwaka huu ikiwa zimebaki takribani siku mbili pekee kutoka leo. Hatua hiyo imekuja baada ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids kutazama mwenendo wa timu hiyo katika michezo mitatu mfululizo ya hivi karibuni kuanzia Simba Day hadi Ngao…

Read More

Polisi yawaachia kina Mbowe kwa dhamana, baadhi wakwama

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi ya moja, ikiwemo jinai. Limesema halitasita kuchukua hatua kwa yeyote…

Read More

‘Ulaji hafifu shuleni unaathiri maendeleo ya akili’

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kimesema ulaji hafifu shuleni utachangia watoto kukosa akili ya maisha na kujikwamua kutoka katika umaskini pale watakapokuwa wakubwa. Wakati SUA ikieleza hayo, Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), limesema ili wanafunzi wafikie malengo yao, wafaulu, wakue na wawe makini darasani wanapaswa wapate lishe nzuri. Wadau hao…

Read More

Profesa Kinabo: Ulaji hafifu shuleni unaathiri maendeleo ya akili na kupambana na umaskini

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kimesema ulaji hafifu shuleni utachangia watoto kukosa akili ya maisha na kujikwamua kutoka katika umaskini pale watakapokuwa wakubwa. Wakati SUA ikieleza hayo, Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), limesema ili wanafunzi wafikie malengo yao, wafaulu, wakue na wawe makini darasani wanapaswa wapate lishe nzuri. Wadau hao…

Read More