‘Shule nyingi wanafunzi wanalishwa ugali maharage’

Dar es Salaam. Mhariri wa Afya wa Gazeti la Mwananchi, Herieth Makwetta amesema uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kati ya Februari mpaka Machi 2024, ulibaini wanafunzi katika shule nyingi wanalishwa ugali maharage kwa muda mrefu, wakati mwingine hadi siku sita kwa wiki. Mbali na Makwetta, Meneja Uchechemuzi na Mawasiliano kutoka Shirika la Save the Children Tanzania,…

Read More

Ubaguzi unavyowarudisha nyuma watu wenye ulemavu

Dar es Salaam. Ubaguzi kwa watu wenye ulemavu katika jamii unatajwa kama moja ya sababu inayofanya kundi hilo kushindwa kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Baadhi ya fursa hizo ni pamoja na upatikanaji wa ajira, kuwezeshwa kiuchumi pamoja na upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii, ikiwemo elimu. Hayo yamebainishwa  leo Jumatatu Agosti 12,…

Read More

Mikoa mitano kunufaika na mradi wa usalama wa chakula

Dodoma. Tanzania inatarajia kuanza utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wakulima wadogo unaolenga kuimarisha usalama na ustahimilivu wa athari za mabadiliko ya tabianchi, ili kuhakikisha usalama wa chakula unadelea kuwepo. Mradi huo wa miaka mitano (2024-2028) unaofahamika kama Nourish utatekelezwa nchini kupitia Shirika la Maendeleo la SNV Netherlands kwa kushirikiana na Farm Africa, ukilenga kuimarisha usalama…

Read More

Hofu ya Gen Z yatajwa shughuli ya Chadema

Dar es Salaam. Hofu ya kilichotokea nchini Kenya na Bangladesh, ni moja ya mambo yanayotajwa kulisukuma Jeshi la Polisi nchini Tanania,  kuliwekea vikwazo Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), kufanya maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani. Kwa mujibu wa wanazuoni wa sayansi ya siasa, tawala katika mataifa kadhaa ulimwenguni zimekumbwa na mtikisiko uliosababishwa na vuguvugu…

Read More

GUSA USHINDE NA SLOTI YA BOOK OF ESKIMO

  MAISHA yako yapo mkononi mwako, ushindi wa kasino upo kiganjani mwako, cheza sloti ya Book of Eskimo inakupa urahisi wa kuishi kitajiri kwa dau dogo kabisa. Jisajili Meridiabet kuanzisha safari yako ya mafanikio. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda kirahisi, moja ya kitu kizuri kutoka Sloti ya Book of Eskimo…

Read More

Amnesty International, TLS na TEF wapaza sauti kukamatwa viongozi Chadema, wanahabari

Dar es Salaam. Shirika la Kimataifa la Kupigania Haki za Binadamu la Amnesty International, limeungana na wadau wa ndani kulaani kukamatwa kwa viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendele (Chadema). Matamko ya kulaani vitendo hivyo yameendelea kutolewa na wadau mbalimbali wa haki za binadamu, wakipinga uamuzi wa Jeshi la Polisi Tanzania kuwashikilia viongozi…

Read More