Muswada sheria hifadhi ya jamii kicheko kwa wanachama

Dodoma. Bunge limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii wa mwaka 2024, ambapo sasa mwanachama wa mfuko atalipwa mafao bila kujali kama mwajiri amekamilisha kuwasillisha michango kwenye mfuko ama la. Hii ni tofauti na ilivyokuwa awali, mwanachama alipostaafu na kama mwajiri hakukamilisha michango alitakiwa kufuatilia ikamilike kwanza, hoja iliyoibua maswali mengi kwa…

Read More

Simba yawashtukia Al Ahli yatega mitego mitatu

SIMBA wajanja. Tayari viongozi wa timu hiyo wamekaa kikao na kuamua ni namna gani wataicheza mechi ya mkondo wa kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika ugenini Libya dhidi ya Al Ahli Tripoli na sasa wametega mitego mitatu wanayoamini ikifanikiwa basi wana uhakika wa kushinda ugenini jijini Tripoli. Simba na Tripoli zitakutana Septemba 13 mwaka huu…

Read More

Risasi, Veta nusu fainali Shinyanga

Timu ya Risasi imeinyoa B4 Mwadui kwa pointi 69-64 katika mchezo wa mwisho wa mzunguko wa pili wa  Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga na kuifanya itinge nusu fainali ya ligi hiyo inayochezwakwenye Uwanja wa Mwadui, mkoani humo. Kwa matokeo hayo, Risasi iliongoza katika mzunguko huo kwa  pointi 11, ikifuatiwa na Kahama Sixers  iliyopata pointi…

Read More

Viungo vya mtoto aliyepotea yadaiwa kuonekana Shinyanga

Shinyanga. Viungo vinavyodhaniwa kuwa vya mwanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Tinde B mkoani Shinyanga, Junior Maganga (7) vimeonekana wilayani humo, baada mtoto huyo kupotea tangu Agosti 22, 2024. Akithibitisha tukio hilo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amesema tukio hilo limetokea Agosti 27, mwaka huu katika…

Read More

Azizi KI ndani, Nouma nje kikosi cha Burkina Faso

TAARIFA mbaya kwa beki mpya wa Simba, Valentin Nouma ni kwamba kocha Brama Traore, amemtema katika kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso, huku Stephanie Aziz KI  wa Yanga akiendelea kupeta. Nouma amekutana na taarifa hiyo ya kushtua ikiwa ni mara ya kwanza tangu atue Simba iliyomsajili dirisha kubwa la usajili lililopita, huku akiwa…

Read More