Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 21
Habari

Manaibu gavana Kenya walalamikia kutokuwa na kazi – DW – 29.08.2024

August 29, 2024 Admin

Manaibu Gavana hao wakiongozwa na Naibu Gavana wa Laikipia Reuben Kamuri wanasema magavana wengi wanawakabidhi wasaidizi wao wakuu majukumu yao na kuwaacha wao bila kazi.

Read More
Habari

Muswada sheria hifadhi ya jamii kicheko kwa wanachama

August 29, 2024 Admin

Dodoma. Bunge limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii wa mwaka 2024, ambapo sasa mwanachama wa mfuko atalipwa mafao bila kujali kama

Read More
Michezo

Simba yawashtukia Al Ahli yatega mitego mitatu

August 29, 2024 Admin

SIMBA wajanja. Tayari viongozi wa timu hiyo wamekaa kikao na kuamua ni namna gani wataicheza mechi ya mkondo wa kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika

Read More
Habari

Mashambaulizi mapya yauwa watu 34 Gaza – DW – 29.08.2024

August 29, 2024 Admin

Umoja wa Mataifa unajiandaa kutoa chanjo kwa watoto wapatao 640,000 huko Gaza, ambako shirika la afya duniani WHO lilithibitisha kwamba alau motot mmoja ameathiriwa na

Read More
Habari

Rais Samia atoa Sh30 milioni kusaidia shughuli za kanisa Jimbo la Musoma

August 29, 2024 Admin

Musoma. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Sh30 milioni kama mchango wake kuchangia shughuli za Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya

Read More
Michezo

Risasi, Veta nusu fainali Shinyanga

August 29, 2024 Admin

Timu ya Risasi imeinyoa B4 Mwadui kwa pointi 69-64 katika mchezo wa mwisho wa mzunguko wa pili wa  Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga na

Read More
Habari

Sullivan akutana na Rais wa China Xi Jinping – DW – 29.08.2024

August 29, 2024 Admin

Katika mazungumzo yao yaliofanyika kwenye Ukumbi wa Great Hall of the People, Xi alimwambia Sullivan kwamba China ina dhamiri ya kuwa na uhusiano tulivu na

Read More
Habari

Viungo vya mtoto aliyepotea yadaiwa kuonekana Shinyanga

August 29, 2024 Admin

Shinyanga. Viungo vinavyodhaniwa kuwa vya mwanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Tinde B mkoani Shinyanga, Junior Maganga (7) vimeonekana wilayani humo, baada mtoto

Read More
Michezo

Azizi KI ndani, Nouma nje kikosi cha Burkina Faso

August 29, 2024 Admin

TAARIFA mbaya kwa beki mpya wa Simba, Valentin Nouma ni kwamba kocha Brama Traore, amemtema katika kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso, huku

Read More
Habari

Mwenezi Makalla akagua ujenzi wa hospital ya mbagala,ujenzi wa shule Mangaya asisitiza miradi ikamilike kwa wakati.

August 29, 2024 Admin

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla leo akiwa kwenye muendelezo wa ziara yake ya kukagua na kuzungumza na Wananchi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 20 21 22 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.