Lawi afunguka dili lake kukwama Ubelgiji

SAKATA la beki Lameck Lawi limeibua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa huenda mchezaji huyo akarudi nchini kutokana na dili lake na K.A.A Gent ya Ubelgiji kuingia mchanga huku mwenyewe akifunguka hali ilivyo. Ipo hivi; Lawi alikuwa anahitajika na timu hiyo kwa makubaliano ya kumnunua moja kwa moja lakini mara baada ya kufika Ubelgiji mambo…

Read More

Waachieni huru viongozi wa Chadema

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemuagiza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo kuwachia huru Viongozi wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo Katibu Mkuu wa Chama hicho. Agizo hilo amelitoa katika Mkutano uliofanyika Wilayani Geita wakati akizungumza na wakazi wa Mamlaka…

Read More

THRDC YAITAKA POLISI KUWACHIA HARAKA VIONGOZI WA CHADEMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umelaani kukamatwa kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Makamu Mwenyekiti Taifa Tundu Lissu, Katibu Mkuu John Mnyika, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi, Wakili Deogratias Mahinyila, waandishi wa habari wa Jambo TV Ramadhan Khamis na Fadhil Kirundwa, wanaharakati na viongozi…

Read More

SERIKALI YAZINDUA SERA YA VIJANA JIJINI DODOMA

WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,  Vijana,Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe.Ridhiwani Kikwete,akizindua Sera ya Taifa ya vijana ya mwaka 2007 kwa ajili ya kuwasaidia kutatua changamoto zao. Na.Alex Sonna-DODOMA SERIKALI imezindua Sera mpya ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya mwaka 2007 toleo la 2024, ambayo inakwenda kujibu changamoto mbalimbali za vijana…

Read More

Hatima dhamana ya kada wa Chadema aliyedaiwa kutekwa Alhamisi

Dar es Salaam. Hatima ya dhamana ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, aliyeripotiwa kupotea kabla ya Jeshi la Polisi Tanga, kutangaza kumshikilia siku 29 baadaye, na kisha kumfungulia kesi ya jinai, Kombo Mbwana sasa itajulikana Alhamisi Agosti 22,2024. Mahakama ya Wilaya Tanga siku hiyo itatoa uamuzi wa pingamizi la dhamana…

Read More