KAMATI YA NISHATI NA MADINI YAPONGEZA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA MADINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Dkt. Mathayo Mathayo, amepongeza hatua kubwa ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la Wizara ya Madini, ambalo kwa sasa limefikia asilimia 84.4. Akiwa jijini Dodoma leo Agosti 12, 2025, Dkt. Mathayo alipokea taarifa ya maendeleo hayo na kupongeza juhudi zinazofanyika. Ujenzi wa jengo hilo…

Read More

Wapinzani Tanzania walaani kukakamatwa viongozi wao – DW – 12.08.2024

Jeshi hilo liliwatia mbaroni karibu viongozi wote wa ngazi wa juu ya chama hicho waliokuwa wakijiandaa kushriki kongamano kuadhimisha siku ya vijana duniani ambalo lilipanga kufanyika jijini Mbeya. Hatua hiyo ya kutiwa nguvuni viongozi wa chama hicho pamoja na wanachama wake waliokuwa wameanza kujikusanya kwa kongamano lao, imezua gumzo kubwa huku Chadema ikilinyoshea kidole cha…

Read More

MHE. FESTO SANGA AUNGANA NA JKTL KULETEA TABASAMU WAHANGA WA MAFURIKO BURUNDI KATIKA CRDB BANK MARATHON 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mbunge wa Makete na Mwenyekiti wa Bunge Marathon, Mhe. Festo Sanga, ameonyesha mshikamano wa hali ya juu kwa kuungana na Wanajeshi wa Kusambaza Tabasamu (JLKT) katika CRDB Bank Marathon 2024 iliyofanyika nchini Burundi. Mhe. Sanga alishiriki katika mbio hizo kwa lengo la kuchangia misaada kwa wahanga wa mafuriko ya Ziwa Tanganyika, hususani katika mkoa wa…

Read More

Jussa: Vijana msiyumbishwe muwe na misimamo

Pemba. Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa amesema nguvu kubwa ya chama hicho kuimarika na kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu ujao ni vijana kuwa na misimamo imara isiyoyumbishwa. Jussa ameyasema hayo leo Jumatatu Agosti 12, 2024 alipokuwa akizungumza na vijana, wanachama na wafuasi wa chama hicho  Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa…

Read More