CHADEMA YATOA TAMKO HILI BAADA YA VIONGOZI WAO KUKAMATWA MBEYA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kuwa Makamu Mwenyekiti wake Tundu Lissu na Katibu Mkuu John Mnyika hawajulikani waliko baada ya kukamatwa na jeshi la polisi siku ya Jumapili. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam mchana wa siku ya Jumatatu Agosti 12, 2024 Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara…