WAZIRI MCHENGERWA ATOA AGIZO KWA TAMISEMI – MWANAHARAKATI MZALENDO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameweka wazi kuwa serikali haitavumilia vitendo vya udhalilishaji dhidi ya walimu nchini, akisisitiza kwamba anataka kuona walimu wakiwa na furaha na wanathaminiwa katika kazi zao. Kauli hiyo aliitoa jijini Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhi magari kwa makatibu…