H Money Atupa Jiwe ‘Tic Tik’ Akiwa na Reekado Banks
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital PRODYUZA wa muziki wa kimataifa Harmony Samuels a.k.a H Money, ameachia wimbo wake mpya uitwao “Tic Tik” akiwa amemshirikisha gwiji kutoka Nigeria, Reekado Banks. Katika wimbo huo wenye mikito ya Kinigeria, ladha tamu kutoka kwa H-Money akiungana na Reekado, unatengeneza burudani ya aina yake ya mtindo wa Afrobeats uliotayarishwa kwa umaridadi…