Kishindo cha rais samia mkoani lindi, bilioni 33.18 zilivyoinufaisha lindi kwenye haya
Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024 imetoa fedha kwa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Lindi kiasi cha Shilingi bilioni 11.34 kwa ajili ya matengenezo na Shilingi bilioni 2.84 kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa barabara za mikoa….