NMB Kumkabidhi Rais Samia Skuli, Kuwanoa Wajasiriamali 700 Kizimkazi Festival 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBARKAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2024), imetambulisha rasmi wadhamini wa mwaka huu, ikiwemo Benki ya NMB, ambayo pamoja na mambo mengine itawanoa wajasiriamali zaidi ya 700 na kukabidhi Skuli ya Maandalizi ya Tasani, iliyopo Sheia ya Tasani, Makunduchi, Zanzibar. Kizimkazi Festival ni tamasha linalotumika kuzindua miradi ya maendeleo…