Mapya yaibuka maandamano ya wananchi Simiyu

Simiyu. Zikiwa zimepita siku nane tangu wakazi wa Mji Mdogo wa Lamadi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu, wafanye maandamano ya kupinga ukimya wa Jeshi la Polisi kushughulikia matukio ya kupotea watoto, wafanyabiashara wamewatuhumu baadhi ya askari kupora na kuiba mali zao wakati wa vurugu hizo. Hata hivyo, alipotakiwa kuzungumzia malalamiko hayo leo Alhamisi Agosti 29 2024, Kamanda…

Read More

Tanzania Prisons sasa mziki umetimia

KITENDO cha nyota wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma na Samson Mbangula kurejea kikosini, kumemfanya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makatta kupata hali ya kujiamini akisema kwa sasa kazi inaanza upya katika Ligi Kuu Bara. Prisons imeanza kwa ugumu Ligi Kuu baada ya kucheza michezo miwili bila kufunga bao, wakiambulia matokeo ya 0-0 mfululizo dhidi…

Read More

CCM yaagiza ujenzi hospitali Temeke ukamilishwe

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeiagiza Manispaa ya Temeke kusimamia ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke iliyopo Mbagala Rangi Tatu ukamilike kwa wakati ili kutoa huduma kwa wananchi Dar es Salaam na mikoa ya jirani. Agizo hilo limetolewa leo Alhamisi Agosti 29, 2024 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM,…

Read More

SIKU NYINGINE YA KUSHINDA KUPITIA MERIDIANBET

LEO ni siku nyingine ya kuweza kushinda na kutengeneza pesa ndefu kupitia kwa mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet, Kwani leo itapigwa michezo kadhaa ambayo itakupa fursa ya kuvuna mkwanja. Nchini Hispania ligi kuu itaendelea leo na michezo miwili mikali itachezwa katika madimba mawili tofauti, Lakini pia michuano ya Uefa Europa League na…

Read More

Unayoweza kufanya kukamilisha ujenzi wa nyumba chapuchapu

Dar es Salaam. Ili kukamilisha ujenzi wa nyumba kwa wakati, Watanzania wametakiwa kubadilika na kuanza kuchangamkia fursa za mikopo ya nyumba. Mbali ya ujenzi, pia wametakiwa kutumia mikopo kununua nyumba. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya First Housing, Amulike Kamwela amesema mikopo itawawezesha kumaliza ujenzi wa nyumba kwa wakati badala ya kujenga kidogo-kidogo na kwa…

Read More

RAIS SAMIA AMEWAJENGEA HESHIMA WANAWAKE KATIKA MAENDELEO NA KUSISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI

Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha JUMUIYA ya Wanawake (UWT)Kibaha Mjini, Mkoani Pwani, imetoa wito kwa wanawake kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo na kuboresha huduma za kijamii, huku ikisifu juhudi zake za kuleta mapinduzi kwenye sekta za usafirishaji, uwekezaji, nishati safi na uwezeshaji kwa wanawake. Mbaraza kutoka UWT Mkoani Pwani, Mariam Ulega…

Read More

Planet yainyoa tena Eagle Mwanza

PLANET imeonyesha ubabe kwa kuifunga timu ngumu ya Eagles kwa pointi 62-59 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mirongo, jijini humo. Mchezo huo ni wa pili kwa timu hiyo kupoteza katika mchezo wa kwanza iliweza kufungwa na Planet kwa pointi 81-72. Mchezaji Romanus wa Planet  aliongoza kwa kufunga pointi 17,…

Read More