Fei Toto akumbatiana na Hersi

WAKATI kikosi cha Azam FC inakwenda kuchukua medali ya mshindi wa pili wa michuano ya Ngao ya Jamii, kama kuna tukio kilikuwa linasubiriwa basi ni kiungo Feisal Salum Fei Toto kuonana uso kwa uso na Rais wa Yanga injinia Hersi Said na wamekutana bana. Katika zoezi hilo la kupokea medali Fei Toto amekutana na Hersi…

Read More

Askofu Kassala aishauri Tume ya Rais ya kodi

Geita. Askofu wa Jimbo Katoliki Geita, Flavian Kassala ameiomba Serikali kuhakikisha inawashirikisha viongozi wa dini katika kutathimini na kushauri kuhusu masuala ya kodi ambayo ni maumivu kwa wananchi wanyonge. Pia ameomba Serikali kutekeleza haraka msamaha wa kodi ilioutoa kwa taasisi za kidini, kwani wao hawafanyi biashara na kwamba mfumo uliokuwepo ulisababisha maumivu kwa kutoza kodi…

Read More

Mchengerwa atoa maagizo kumaliza changamoto za walimu

Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ameiagiza Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania (TSC), kutembelea walimu kwenye vituo vyao vya kazi na kujua changamoto zao, badala ya kung’ang’ania ofisini. Mbali na hilo pia ameiagiza TSC kushughulikia  kero na changamoto za walimu nchini ili kuondoa malalamiko…

Read More

Wazazi watakiwa kuimarisha uhusiano na watoto wao

Dar es Salaam. Wazazi wametakiwa kuimarisha uhusiano na watoto wao kwa kuwauliza maswali ya maana ili kuelewa hisia na mawazo yao. Imeelezwa kuwa, njia hiyo itasaidia kulinda misingi ya imani na kuzuia matatizo ya baadaye yawakumbayo vijana. Haya yamesemwa leo Jumapili Agosti 11, 2024 katika Kongamano la Pili la Kimataifa la Masheikh na Kizazi cha…

Read More