Moloko afichua kilichomzuia Namungo | Mwanaspoti

WINGA wa zamani wa Yanga, Jesus Moloko amefunguka kilichomzuia asirudi Tanzania baada ya kutakiwa na Namungo kisha kujiunga na timu ya Diyala SC iliyopo Ligi Daraja la Kwanza ya Iraq, akisema dau kubwa la usajili alilopewa na timu hiyo aliyompa mkataba wa mwaka mmoja ndio sababu iliyomfanya aende huko. Moloko alikuwa anatajwa kujiunga na Namungo…

Read More

Sababu panda shuka idadi ya wanafunzi sekondari binafsi

Dar es Salaam. Mchujo, idadi ya wanafunzi wanaohitajika katika shule husika na wazazi kukosa fedha za kugharamia mahitaji na ada zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochochea kupanda na kushuka kwa idadi ya wanafunzi sekondari binafsi. Pia ongezeko la shule za Serikali nayo imetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazofanya shule hizo kukosa wanafunzi. Sababu hizi zimetolewa…

Read More

Minziro kiroho safi Kagera | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mechi tatu wanazocheza Uganda ni kipimo tosha cha wao kumkabili bingwa mtetezi Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Agosti 16 kwenye uwanja wao wa nyumbani. Kagera juzi ilijipima nguvu na Wahiso Giants na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 yakifungwa na Cleophas Mkandala na Deogratias…

Read More

Askofu Mbawala apewa siku 15 kukabidhi miradi kwa waasisi

Songea. Mahakama Kuu Kanda ya Songea imeliamuru Baraza la Wadhamini la Kanisa la Upendo wa Kristo Masihi na Askofu Noel Mbawala, kukabidhi miradi ya uwekezaji waliyoihodhi na akaunti za benki kwa waanzilishi wa miradi hiyo. Miradi ya uwekezaji na akaunti za benki zinazotakiwa kukabidhiwa ndani ya siku 15 ni pamoja na chuo cha ufundi, hospitali…

Read More

KenGold: Tutaishangaza Singida BS | Mwanaspoti

WAKATI Ken Gold ikitarajia kucheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, benchi la ufundi limetamba kushangaza likisema litaanza kuonyesha ubora wao dhidi ya Singida Black Stars. Timu hiyo ya mkoani Mbeya itafungua pazia ya mashindano hayo dhidi ya Singida BS ikianzia nyumbani Uwanja wa Sokoine Agosti 18 ikiwa ni mara ya kwanza kwao kushiriki ligi…

Read More

ACT Wazalendo yataka kampuni ya kimataifa kukagua miradi Zanzibar

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimesema iwapo kinaeleza uongo kuhusu ubadhirifu wanaoutaja hadharani, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) iridhie kuita kampuni binafsi za kimataifa kukagua miradi wanayoitaja kuwa na walakini katika utekelezaji wake. Kimesema katika hoja 27 zilizoibuliwa na chama hicho, hakuna hata moja imejibiwa badala yake wanakituhumu na kudai hakina sera za kunadi, lakini…

Read More