Mzuka wa Expanse kasino, unatoa mamilioni

Ongeza Mzuka na michezo ya kasino ya mtandaoni kutokaExpanse, promosheni yenye kutoa Mamilioni kwa wachezajiwote. Jiunge na   Meridianbet kasino upate bonasi yaukaribisho ya 300%. Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutokaExpanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemobonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino naSloti ambayo inaweza kukufanya kuwa Milionea. Mwisho…

Read More

Polisi, Bavicha ‘ngoma bado Mbichi’ kongamano Mbeya

Dar/Mbeya. Magari 20 aina ya Coaster yaliyobeba vijana wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), yanadaiwa kuzuiliwa na Jeshi la Polisi kwenda mkoani Mbeya kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani. Hata hivyo, baraza hilo limeweka wazi kila kinachofanywa dhidi yao kuelekea siku hiyo, hakitakuwa kikwazo cha kuadhimishwa kwa siku ya vijana na maandalizi yanaendelea….

Read More

BENKI YA MWANGA YAFANYA MKUTANO MKUU WA NNE WA MWAKA KWA WANAHISA WAKE MKOANI KILIMANJARO

Mwenyekiti  wa Bodi ya  Wakurugenzi ya Mwanga Hakika Benki, Mhandisi Rithuan Mringo (watatu kushoto), akizungumza na wanahisa wa benki hiyo wakati wa Hafla ya Mkutano Mkuu wa nne wa wanahisa wa Benki hiyo uliyofanyika Wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro wengine pichani kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Jagjit Singh, Makamo Mwenyekiti wa bodi ya…

Read More

TCA Ligi Caravans yafunika T30, ikitota T20

ILIKUWA wikiendi njema kwa timu ya Caravans C baada ya kutwaa ushindi wa wiketi 3 dhidi ya Specialised K&P katika mchezo wa Ligi ya Kriketi ya Mkoa uliopigwa kwenye Uwanja wa Leaders, jijini Dar es Salaam. Ni Ligi ya Kriketi ya mizunguko 30 kwa timu za daraja B kwa mujibu wa msemaji wa Chama cha…

Read More

Fadlu apangua wanne, Simba ikiivaa Coastal

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amepangua wachezaji wanne katika kikosi kilichoanza katika mchezo uliopita  wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga wakati ikivaana na Coastal Union kusaka ushindi wa tatu wa michuano hiyo ya kuzinduliwa msimu mpya wa 2024-2025. Msauzi huyo amegusa maeneo mawili tu ambayo ni ukuta na kiungo kwa kuwaweka…

Read More

NCHIMBI AHITIMISHA KAGERA MKUTANO MKUBWA MULEBA

-Wapinzani wazidi kupukutika wakirejea CCM Maelfu ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Muleba wakiwa wamejitokeza na kukusanyika kwenye Uwanja wa Fatuma, Muleba mjini, Mkoa wa Kagera, leo Jumapili 11 Agosti 2024, kwa ajili ya kumsikiliza Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, wakati akihitimisha ziara yake…

Read More

Neema Olomi aanza vyema gofu Mombasa

VIWANJA vya mchezo wa gofu vya miji ya mwambao wa Kenya vimekuwa ni rafiki kwa Mtanzania, Neema Olomi kutoka klabu ya Arusha Gymkhana baada ya kufanya vizuri tena katika mashindano ya mwaka huu ya wanawake kwenye viwanja vitano vya mjini Mombasa nchini humo. Olomi alishika nafasi ya pili nyuma ya mwenyeji Mercy Nyanchama katika mchezo…

Read More