NHIF yasitisha huduma kwenye vituo vya Aga Khan nchini
Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umesema umepokea taarifa kutoka Taasisi ya Aga Khan kuwa imekusudia kutoendelea na mkataba kati yake na mfuko huo, kwa vituo 11 kati ya 24 kutokana na changamoto za kiuendeshaji kuanzia Agosti 14,2024. Miongoni mwa vituo vilivyositisha huduma kwa wateja wa NHIF ni pamoja na…