Msajili apiga ‘stop’ kongamano la Chadema, wenyewe wajibu

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya kongamano la vijana ambalo kimedai kitaweka hatma ya nchi ya Tanzania. Uamuzi huo wa Ofisi ya Msajili unatokana na kile ilichoeleza, maneno yaliyozungumzwa kuelekea kongamano hilo yanahamasisha uvunjifu wa amani na vurugu na hivyo kukiuka vifungu vya…

Read More

Tanzania yatoka kapa Olimpiki 2024

KWA mara nyingine tena Tanzania imetoka kapa katika Michezo ya Olimpiki 2024 wanariadha waliokuwa wamesalia katika michezo hiyo inayomalizika leo jijini Paris, Ufaransa Magdalena Shauri akimaliza wa 40, huku Jackline Sakilu akishindwa kabisa kumaliza mbio za marathoni, zilizoshuhudiwa Mholanzi mwenye asili ya Ethiopia, Sifan Hassan akivunja rekodi ya michezo hiyo akitumia muda wa 2:22:55. Sifan…

Read More

MWANAMKE ACHA TABIA HIZI, WANAUME HAWAZIPENDI – MWANAHARAKATI MZALENDO

      1. CHOKOCHOKOWanaume wengi huwa hawapendi chokochoko. Hawapendi mwanamke ambaye yeye kila wakati ni kuanzisha chokochoko ambazo zinazalisha ugomvi. Wanaume wengi hawapendi mabishano. Hawapendi ugomvi hivyo mwanamke anapokuwa hodari wa kuleta chokochoko, huepukwa.   Ni vyema basi mwanamke akachunga kauli. Akawa si mtu wa kuchimbachimba vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Asiwe na…

Read More

Ukimheshimu utampa muda wako | Mwananchi

Niko kwenye mgahawa mmoja hapa Shinyanga nangoja chakula cha jioni. Pembeni yangu wameketi watu wawili wanaoonekana kuwa karibu. Huenda ni mume na mke. Nawaona kama watu waliokuja kwa mtoko wapate chochote kitu. Utaratibu mzuri kwa watu wanaopalilia mahusiano yao. Hata hivyo, tangu nimekaa hapa nusu saa iliyopita sijawasikia wakiongea. Hawaonekani kuwa na ugomvi, lakini pia…

Read More

KIDO Balozi wa Kampeni ya USAID ya “Holela-Holela Itakukosti” Atinga kwenye Siku ya Nane Nane

Dkt. Salum Manyatta, Mkurugenzi Msaidizi wa Afya Moja kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu sehemu ya Afya Moja akiwa na KIDO wakijadili kuhusu kampeni ya “Holela Holela Itakukosti” inayolenga kupambana na Usugu wa Vimelea vya magonjwa dhidi ya Dawa (UVIDA) na magonjwa ya zuonotiki (magonjwa yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu) wakati wa maadhimisho…

Read More

ONGEA NA AUNT BETTIE: Umeamua kuwa hawara wa kudumu komaa

Anti ninashindwa hata nianzie wapi kwa haya ninayopitia kwa mwanamume ninayeishi naye. Kabla sijaeleza changamoto yangu, naomba ujue ninampenda, ninaipenda familia yake na siwezi kutoka licha ya maswahiba ninayopitia. Tunaishi wote huu mwaka wa 12, hajawahi kuzungumzia kunioa, licha ya kumlelea watoto wake wawili waliotelekezwa na mama zao, mmoja ana miaka mitatu na mwingine mitano….

Read More