Umeamua kuwa hawara wa kudumu komaa

Anti ninashindwa hata nianzie wapi kwa haya ninayopitia kwa mwanamume ninayeishi naye. Kabla sijaeleza changamoto yangu, naomba ujue ninampenda, ninaipenda familia yake na siwezi kutoka licha ya maswahiba ninayopitia. Tunaishi wote huu mwaka wa 12, hajawahi kuzungumzia kunioa, licha ya kumlelea watoto wake wawili waliotelekezwa na mama zao, mmoja ana miaka mitatu na mwingine mitano….

Read More

Ndoa yaweza kuwa pepo au jehanamu

Ndoa, kama taasisi yoyote ina pande nyingi, kubwa zikiwa mbili. Inaweza kuwa na mafanikio au maanguko. Ndoa ikifanikiwa hugeuka pepo. Ikishindwa haina tofauti na jehanamu, japo hakuna aliyewahi kufika huko. Tudurusu namna ya kujua ndoa gani ni pepo au jehanamu kwa kudodosa. Ni wanandoa gani (siyo wa kwenye maigizo) ukiwaona unatamani ndoa yako ingekuwa kama…

Read More

MBUNGE KOKA KULETA MAGEUZI YA KUKUZA VIPAJI KWA WASANII

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kukuza na kuibua vipaji vya wasanii wa fani mbali mbali ameweka mikakati kabambe kwa ajili ya kuanzisha kliniki maalumu ambayo itaweza kuwapa fursa vijana waweze kuonyesha vipaji walivyonavyo ili waweze kutambulika zaidi…

Read More

KASEKENYA- TANROADS NA WANANCHI LINDENI BARABARA

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kushirikiana na wananchi kulinda hifadhi za barabara na hivyo kuwezesha ujenzi wa miundombinu hiyo kufanyika kwa urahisi na kudumu kwa muda mrefu. Akikagua ujenzi wa barabara ya Mkuranga-Kisiju KM 45 na barabara ya Kilwa mkoani Pwani amehimiza ushirikishwaji wa wananchi…

Read More