KTO YAWAFIKIA VIJANA TAKRIBANI ELFU 17 NCHINI KATIKA MIRADI YAKE MITATU IKIWEMO YA MPIRA FURSA.
Na MWANDISHI wetu Dodoma MKURUGENZI wa Karibu Tanzania Organisation (KTO), Maggid Mjengwa amesema kuwa wameweza kuwafikia vijana wapatao Elfu 17 hapa Nchini katika zao za Elimu haina mwisho,Mpira fursa na SD ambayo inasimama katika malezi na makuzi ya watoto. Maggid ameyasema hayo leo hii Jijini Dodoma wakati akizungumza na Wanahabari mara baada ya ufunguzi wa…