KTO YAWAFIKIA VIJANA TAKRIBANI ELFU 17 NCHINI KATIKA MIRADI YAKE MITATU IKIWEMO YA MPIRA FURSA.

Na MWANDISHI wetu Dodoma MKURUGENZI wa Karibu Tanzania Organisation (KTO), Maggid Mjengwa amesema kuwa wameweza kuwafikia vijana wapatao Elfu 17 hapa Nchini katika zao za Elimu haina mwisho,Mpira fursa na SD ambayo inasimama katika malezi na makuzi ya watoto. Maggid ameyasema hayo leo hii Jijini Dodoma wakati akizungumza na Wanahabari mara baada ya ufunguzi wa…

Read More

FAIDA FUND YAVUKA MALENGO KWA MWAKA MMOJA

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MFUKO wa uwekezaji wa Faida Fund kwa kipindi cha Mwaka mmoja umevuka malengo ambayo uliwaahidi wanachama wake ya kuwa mfuko utakuwa na faida asilimia 9.7 hatimaye imepitiliza lengo hilo na kufikia asilimia 12 ya faida. Hayo yameelezwa na Meneja wa Faida Fund Fred Msemwa, leo Agosti 10 2024 katika Mkutano…

Read More

Taknolojia ilivyopaisha faida Mfuko wa Faida

Dar es Salaam. Mfuko wa Uwekezaji wa Faida Fund umeripoti ongezeko la faida kwa wawekezaji, kutoka asilimia 10 ya Juni 20, 2023, hadi asilimia 12 kwa mwaka ulioishia Juni 30, 2024. Hayo yamebainishwa Agosti 10, 2024 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Abdul-Razaq Badru, katika mkutano mkuu wa kwanza tangu kuanzishwa kwa mfuko huo. Badru…

Read More

Rais Samia kuhudhuria kuapishwa kwa Kagame kesho

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki sherehe za uapisho wa Rais mteule wa Rwanda, Paul Kagame. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Agosti 10, 2024 na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasilinao ya Rais, Ikulu, Sharifa Nyanga, imesema Rais Samia atasafiri kesho asubuhi kuelekea Rwanda kwa ajili ya shughuli hiyo itakayofanyika Agosti 11, 2024. Kagame alichaguliwa…

Read More

TANZANIA YASISITIZA ULIPAJI MICHANGO SADC

TANZANIA imeahidi kukamilisha mchango wake wa mwaka katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na kuzisisitiza nchi nyingine wanachama kufanya hivyo ili kuiwezesha Jumuiya hiyo kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Hayo yamejiri wakati wa Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya SADC kilichofanyika tarehe 10 Agosti 2024, Harare, Zimbabwe. Katika kikao hicho, ujumbe…

Read More

Ofisi ya Atomu kupunguza gharama usafirishaji sampuli

Unguja. Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), Profesa Joseph Msambichaka amesema uamuzi wa Serikali kujenga ofisi na maabara Zanzibar utasaidia kusogeza huduma ya upimaji wa mionzi karibu na wananchi. Profesa Msambichaka amesema hayo Agosti 10, 2024 baada ya kutembelea ofisi na maabara za TAEC Zanzibar zilizojengwa eneo maalumu lililotengwa na…

Read More

TSB YAANZISHA ‘SPECIAL MKONGE BBT’

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) Saddy Kambona akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo pichani) Bodi ya Mkonge kuhusiana Bodi hiyo kuanzisha mradi maalumu wa Jenga Kesho iliyo Bora kupitia Zao la Mkonge (Special Mkonge BBT) ambayo inahusisha makundi ya wanawake, vijana na wenye ulemavu kwenye Kilele cha  Maonesho Kilimo Kitaifa Nane Nane…

Read More

Tamwa yatoa neno kwa wanahabari vijana

Unguja. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (Tamwa-ZNZ) kimewataka waandishi wa habari vijana kuwa mashujaa na mabalozi wazuri wa kusaidia upatikanaji wa usawa wa kijinsia kwa maendeleo ya nchi. Hayo yameelezwa Agosti 10, 2024 na Mkurugenzi wa chama hicho, Dk Mzuri Issa Ali alipofungua mafunzo ya siku tano ya kuendeleza waandishi wa habari…

Read More