Dk Nchimbi: Serikali ijenga makumbusho ya vita vya Kagera

Bukoba. Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ameielekeza Serikali kujenga makumbusho maalumu ya vita vya Kagera vilivyopiganwa kati ya majeshi ya Tanzania na vikosi vya Idd Amin wa Uganda. Lengo la kuwa na makumbusho hiyo, amesema ni kuhifadhi historia hiyo kwamba Tanzania iliwahi kupigana vita na adui yake na ikashinda. Pia, amesema lengo jingine…

Read More

Dk Mwinyi: Tutawashika mkono vijana kuingia bungeni, barazani

Unguja.  Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema wanatamani kuona vijana wengi wakiingia bungeni na Baraza la Wawakilishi na hivyo watawaunga mkono vijana wote watakaogombea nafasi hizo. Dk Mwinyi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar amesema Serikali itaongeza ajira nyingi za vijana kadri inavyowezekana ili kuondoa changamoto ya ajira na…

Read More

Rais Samia aeleza kwa nini anajikita kuboresha kilimo

Dar es Salaam. Rais Samia Samia Suluhu Hassan ameeleza mambo matatu yalimyofanya ajikite kuboresha kilimo, huku akitoa maagizo ya fedha kutolewa kuongeza mtaji wa uanzisha benki ya ushirika. Amesema mambo hayo kuwa ni sekta ya kilimo inawagusa zaidi wananchi wa chini, wakiwemo wanyonge na wenye hali duni; dunia kukumbukwa na tishio la kutokuwa na uhakika…

Read More

Yanga vs Azam hapa sasa mtainjoi, kisasi kitalipwa

HII utaipenda na mtasema mlikujaje. Ndivyo unavyoweza kusema wakati fainali ya mechi za Ngao ya Jamii itakapopigwa kesho Jumapili. Ndio, ni bonge la mechi kwa mashabiki wa soka nchini. Achana na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Alhamisi. Achana na matokeo ya ushindi wa bao 1-0 iliyopata Yanga mbele ya Simba. Achana na madudu yaliyofanywa na waamuzi wa…

Read More

KATAMBI AZINDUA KONGAMANO LA VIJANA DODOMA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi leo tarehe 10 Agosti, 2024 amezindua Kongamano la vijana Jijini Dodoma ikiwa ni kuelekea siku ya vijana kimataifa Agosti 12, 2024. Kongamano hilo ambalo linaratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na kushirikiana na Wadau wa Maendeleo ya…

Read More

Boka, Yanga sasa kimeeleweka Yanga

BEKI mpya wa kushoto wa Yanga, Chadrack Boka sasa kila kitu freshi Jangwani baada ya mabosi wa klabu hiyo kumalizana kabisa na FC Lupopo aliyokuwa akiichezea kwa kuwapa mamilioni ya fedha ambayo awali zilikaribia kuzuia Hati ya Uhamisho (ITC) ya mchezaji huyo aliyeanza kuwaka na kikosi hicho. Unaambiwa, licha ya Yanga kumtangaza staa huyo wa…

Read More

TLS yataja watu 83 wanaodaiwa kutekwa, kutoweka

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani ongezeko la matukio ya utekaji na watu kupotea nchini kikitoa orodha ya watu 83 waliofikwa na kadhia hiyo. Mbali ya hayo, TLS imemshauri Rais Samia Suluhu Hassan mambo matatu, ikiwemo kuunda tume kuchunguza ushiriki wa Jeshi la Polisi kwenye matukio ya utekaji. Kwa mujibu wa TLS,…

Read More

Dabi yampa mbinu kocha Vital’O dhidi ya Yanga CAFCL

KOCHA Mkuu wa Vital ‘O ya Burundi, Sahabo Parris amesema ameutazama mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga na ameutumia kuisoma Yanga na kujua uimara wao, huku akiamini hadi timu hizo zitakapokutana atakuwa ameshapata mbinu bora za kuwakabili. Vital’O itakutana na Yanga katika mchezo wa hatua ya awali Ligi…

Read More