Bao dhidi ya Simba lampa mzuka Nzengeli

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Maxi Nzengeli amesema timu yake ina wachezaji wengi wenye ubora huku akimtaja Pacome Zouzoua na kuweka wazi kuwa kuifunga Simba kumemjenga zaidi. Maxi alifunga bao pekee na la ushindi la Yanga wakati wakiiua Simba katika mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii na leo watarudi uwanjani kuumana na Azam katika…

Read More

Mkanganyiko wakwaza uandikishaji wapigakura | Mwananchi

Musoma. Mkanganyiko kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura pamoja na uandikishaji wa wapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa umepelekea muitikio mdogo wa wapiga kura kwenye chaguzi hizo. Kutokana na hali hiyo, wananchi wametakiwa kuhakikisha wanashiriki kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea na kisha kujiandikisha kwa ajili ya kushiriki…

Read More

Manchester Derby ya maokoto leo

  Manchester Derby itapigwa leo katika dimba la Wembley wakifungua rasmi pazia la msimu mpya wa 2024/25 kupitia mchezo wa Ngao ya hisani ambao unakutanisha bingwa wa ligi kuu ya Uingereza na bingwa wa kombe la Fa. Manchester City ambao walikua mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu jana ambapo Manchester United walikua mabingwa wa…

Read More

Wanakitongoji wachangishana kununua eneo la maziko

Tabora.  Wakazi wa Kitongoji cha Milembela, Uyui, Manispaa ya Tabora, wameamua kuchanga fedha kununua eneo maalumu la kuzikia baada ya awali kuzika ndugu zao katika makaburi ya Mtendeni, kutokana na kitongoji chao kukosa eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi leo Agosti 10, Seleman Khamis, mkazi wa Milembela, amesema kitongoji chao hakikuwa na eneo la kuzikia, hivyo…

Read More

Cheza Spinning Buddha ushinde mamilioni

  Spinning Buddha ni sloti ya kasino ya mtandaoni ambayo ina safuwima tano zilizopangwa kwa safu tatu na ina mipangilio 15 isiyobadilika. Ili kupata ushindi wowote unahitaji kulinganisha alama tatu au zaidi zinazolingana kwenye mistari ya malipo. Jisajili ushinde Mamilioni ya Meridianbet. Kuna bonasi ya Ukaribisho ya 300%. Buddha ndiye mhusika pekee kwenye sheria hii….

Read More

Ishu ya Kagoma Yanga iko hivi, sababu kutocheza Simba yatajwa

MWANASHERIA wa kiungo Yusuf Kagoma, Leonard Richard, ameomba kupewa muda wa kujiandaa kujadili malalamiko yaliyowasilishwa na Yanga baada ya kesi ya kimkataba kufikishwa katika Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Wakati suala hilo likifika kwenye kamati kwa ajili ya kujadiliwa, mwanasheria huyo amebainisha kwamba Kagoma ni mali halali…

Read More

Anayeandikia miguu awezeshwa kuendelea kidato cha tano

Morogoro. Hamis Nguku, mwanafunzi mwenye ulemavu wa viungo ambaye amekuwa anatumia miguu kuandika, kula, na kufanya shughuli zake nyingine, ameishukuru kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL) kwa kurusha habari zake, ambazo zilipelekea kupata mfadhili aliyemnunulia mahitaji muhimu ya shule. Nguku, ambaye ni mkazi wa Mlimba katika Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, alipata ufadhili kutoka kwa…

Read More