Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 23
Habari

Serikali yaanza uchunguzi chanzo ajali ya treni iliyojeruhi abiria 70

August 29, 2024 Admin

Kigoma. Serikali imesema imeanza uchunguzi wa kubaini chanzo cha ajali ya treni iliyosababisha watu 70 kujeruhiwa. Awali, taarifa iliyotolewa na Shirika la Reli Tanzania (TRC)

Read More
Habari

PSSSF YATOA HUDUMA KWENYE KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA AICC-ARUSHA

August 29, 2024 Admin

ARUSHA. MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umeweka kambi kwenye viwanja vya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ili

Read More
Michezo

Pamba Jiji hesabu za siku 22

August 29, 2024 Admin

LIGI Kuu Bara itasimama kwa wiki mbili kupisha mechi za timu za taifa na mashindano ya klabu barani Afrika, huku Pamba Jiji ikipanga kuzitumia siku

Read More
Michezo

Vijana waifanyia kweli Savio DBL

August 29, 2024 Admin

TIMU ya mpira ya kikapu ya Savio imetikiswa na Vijana ‘City Bulls’ baada ya kufungwa pointi 77-65 katika Ligi ya mchezo huo Mkoa wa Dar

Read More
Habari

Serikali, kina ‘Boni Yai’ wavutana kuahirisha kesi

August 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kesi ya Meya wa zamani wa Ubungo jijijlni Dar es Salaam, Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwenzake, mwanaharakati Godlisten Malisa, iliyokuwa

Read More
Michezo

Kazi ipo eneo la kushuka daraja BDL

August 29, 2024 Admin

WAKATI Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mchuano umehamia kwa  timu zitakazoshuka daraja kazi ikiwa kwa timu tano

Read More
Habari

CPA MAKALA ATAKA UJENZI JENGO LA GHOROFA SITA HOSPITALI YA MBAGALA KUKAMILIKA KWA WAKATI, AKUMBUSHA MWAKANI WANA JAMBO

August 29, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makala ametoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga jengo la ghorofa sita la Hospitali ya Mbagala mkoani

Read More
Michezo

Aliyeiua Namungo mzuka umepanda | Mwanaspoti

August 29, 2024 Admin

BAADA ya kucheza mechi ya kwanza Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani mwaka mmoja na nusu, huku akifunga bao lililowapa Tabora United ushindi,

Read More
Habari

Upepo waezua mapaa ya madarasa, wanafunzi wakatisha masomo

August 29, 2024 Admin

Musoma. Wanafunzi 201 wa Shule ya Msingi Mkiringo iliyopo Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wamebaki bila pa kusomea baada ya upepo mkali kuezua mapaa ya

Read More
Habari

Vifaa vya kisasa kutumika kuwanoa wanafunzi wa ukunga, uuguzi

August 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wanafunzi kutoka vyuo 36 vinavyotoa elimu ya fani ya uuguzi na ukunga Tanzania Bara na Zanzibar watanufaika na vifaa vya kuwasaidia kusoma

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 22 23 24 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.