Pamba Jiji hesabu za siku 22

LIGI Kuu Bara itasimama kwa wiki mbili kupisha mechi za timu za taifa na mashindano ya klabu barani Afrika, huku Pamba Jiji ikipanga kuzitumia siku takribani 22 za mapumziko hayo kuboresha kikosi chake na kucheza mechi za kirafiki. Pamba Jiji ambayo ilicheza mechi yake ya mwisho Agosti 24, mwaka huu itarejea tena dimbani Septemba 15…

Read More

Vijana waifanyia kweli Savio DBL

TIMU ya mpira ya kikapu ya Savio imetikiswa na Vijana ‘City Bulls’ baada ya kufungwa pointi 77-65 katika Ligi ya mchezo huo Mkoa wa Dar es Salaam (DBL) mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco  Oysterbay. Savio inayoshika nafasi ya tatu ndani ya msimamo wa Ligi hiyo ikiwa pointi 45 katika mchezo huo ilishindwa kabisa kuonyesha…

Read More

Serikali, kina ‘Boni Yai’ wavutana kuahirisha kesi

Dar es Salaam. Kesi ya Meya wa zamani wa Ubungo jijijlni Dar es Salaam, Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwenzake, mwanaharakati Godlisten Malisa, iliyokuwa imepangwa kuanza kusikilizwa ushahidi leo imekwama baada ya shahidi aliyetarajiwa kudaiwa kuugua ghafla. Mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Job Mrema ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es…

Read More

Kazi ipo eneo la kushuka daraja BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mchuano umehamia kwa  timu zitakazoshuka daraja kazi ikiwa kwa timu tano zinazochuana zisishuke. Timu hizo ni KIUT yenye pointi 30, Jogoo (28), Ukonga Kings (27), Crowns (27) na Chui (25), zipo katika mtihani huku tatu kati ya hizo ndizo zitakazoshuka daraja….

Read More

CPA MAKALA ATAKA UJENZI JENGO LA GHOROFA SITA HOSPITALI YA MBAGALA KUKAMILIKA KWA WAKATI, AKUMBUSHA MWAKANI WANA JAMBO

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makala ametoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga jengo la ghorofa sita la Hospitali ya Mbagala mkoani Dar es Salaam kuhakikisha ifikapo Juni mwaka 2024 liwe limekamilika na kuanza kutoa huduma. CPA Makala ametoa maelekezo hayo baada ya kufanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali…

Read More

Aliyeiua Namungo mzuka umepanda | Mwanaspoti

BAADA ya kucheza mechi ya kwanza Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani mwaka mmoja na nusu, huku akifunga bao lililowapa Tabora United ushindi, beki wa kushoto Salum Chuku, amesema licha ya kikosi chao kuchelewa kuanza maandalizi lakini ana imani kitafanya vizuri msimu huu. Chuku aliyejiunga na Tabora United kwenye dirisha kubwa akitokea Mwadui…

Read More

Upepo waezua mapaa ya madarasa, wanafunzi wakatisha masomo

Musoma. Wanafunzi 201 wa Shule ya Msingi Mkiringo iliyopo Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wamebaki bila pa kusomea baada ya upepo mkali kuezua mapaa ya madarasa. Tukio hilo lilitokea jana Agosti 28, 2024 saa 1:00 usiku, upepo huo ukiambatana na mvua kubwa. Mwenyekiti wa Kamati ya Shule, Chacha Warioba amesema jumla ya madarasa matatu yameezuliwa…

Read More

Vifaa vya kisasa kutumika kuwanoa wanafunzi wa ukunga, uuguzi

Dar es Salaam. Wanafunzi kutoka vyuo 36 vinavyotoa elimu ya fani ya uuguzi na ukunga Tanzania Bara na Zanzibar watanufaika na vifaa vya kuwasaidia kusoma kwa vitendo ili kuwajengea umahiri wa utoaji huduma. Vifaa hivyo ikiwamo midoli vitawasaidia kujifunza namna bora ya kumfanyia uchunguzi wa kina mjamzito na kumzalisha, pia kwa wasio wajawazito ili kupunguza…

Read More