BAUSI: Kina Bacca, Fei Toto wametuheshimisha
KIWANGO cha beki Abdulrahim Seif Bausi, kiliifanya Simba iishie kukitamani kwa macho, baada ya JKT Tanzania kuiwahi huduma yake, ikimtoa Uhamiaji ya Zanzibar na katika mahojiano na Mwanaspoti amezungumzia hilo. Bausi anasema soka kwake siyo kitu cha kubahatisha, kwani baba yake mzazi Seif Bausi ni kocha wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, na…