MTU WA MPIRA: Simba Imesajili vizuri, Yanga bado ni bora

TUMESHUHUDIA Dabi ya Kariakoo bora kabisa Alhamisi iliyopita. Soka lilipigwa kweli kweli pale kwa Mkapa. Hakuna aliyetaka kupoteza hata sekunde. Licha ya ushindi wa Yanga, mpira ulikuwa mzuri sana. Ulikuwa wa ushindani na ufundi mkubwa. Uliakisi ukubwa wa soka la Tanzania kwa sasa. Kabla ya mchezo Yanga alipewa nafasi kubwa ya kushinda. Wapo walioamini angeshinda…

Read More

Siri makusanyo ya Sh2.43 trilioni,  TRA ikiweka rekodi

Dar es Salaam. Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa fedha 2024/2025 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh2.43 kiwango ambacho hakijawahi kukusanywa ndani ya mwezi mmoja. Taarifa kwa umma iliyotolewa na TRA imeeleza kuwa makusanyo hayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 104.4 ikilinganishwa na lengo la kukusanya Sh2.24 trilioni. “Makusanyo haya ni sawa…

Read More

KMC yataka Sh200 milioni Awesu acheze Simba

MWANASHERIA wa KMC ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi wa timu hiyo, Cheaf Said amesema kiungo Awesu Awesu bado ni mchezaji wao halali na Simba wakimtaka warudi mezani kwao kwa ajili ya mazungumzo wakiwa na Sh200 milioni. Amefunguka hayo muda mchache baada ya kumalizika kwa kikao chao na Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji…

Read More

Mahakama yatupa ombi la wosia mjane wa Mengi 

Arusha/Dar. Mahakama ya Rufani imetupilia mbali shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa na mjane wa Reginald Mengi, Jacquiline Ntuyabaliwe na wanawe wawili, ambao wamekuwa wakipambana kutetea wosia unaodaiwa kuandikwa na Mengi ambao Mahakama Kuu iliubatilisha. Katika shauri hilo, Jacquiline na wanawe anaowasimamia, Jayden Kihoza Mengi na Ryan Saashisha Mengi walikuwa wanaiomba mahakama irejee na hatimaye…

Read More

ATIWA MBARONI KWA MAUAJI YA MTOTO WA MIAKA 7 NA KUFICHA MWILI WAKE KWENYE SHAMBA LA MIGOMBA.

NA WILLIUM PAUL, ROMBO. JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja mwanaume Mkazi wa Kijiji cha Mahango wilayani Rombo kwa tuhuma za kumfanyia matendo ya ukatili, udhalilishaji na kumuua kwa kumnyonga mtoto wa kiume aitwaye Amedeus Laurent, (7), na kuficha mwili wake kwenye shamba la migomba. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi…

Read More