UTEKELEZAJI WA ILANI ASILIMIA 100 UTAIPA USHINDI CCM 2025 -DK.MWINYI – MWANAHARAKATI MZALENDO
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa asilimia 100 kunalenga kukipatia ushindi wa kihistoria chama hicho katika Uchaguzi Mkuu 2025. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo tarehe 09 Agosti 2024, wakati akizungumza na makundi ya hamasa…