WANANANCHI WA DODOMA WAKOSHWA NA BANDA LA SERENGETI BREWERIES LIMITED NANENANE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wananchi na wakazi wa Dodoma walipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye maonyesho ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo katika sekta ya kilimo na hasa kwenye kuwainua wakulima kiuchumi katika kununua mazao yao kama malighafi ya utengenezaji wa bia         Wananchi…

Read More

MZUMBE KUENDELEA NA MAONESHO NANENANE – DODOMA

Chuo Kikuu Mzumbe kinaendelea kuwakaribisha wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Kati kutembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya Kilimo ya Kimataifa (Nanenane) 2024 yanayoendekea katika viwanja vya Nanenane, Nzuguni jijini Dodoma. Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Chuo Kikuu Mzumbe, Bi. Lulu Mussa amesema licha ya maonesho hayo kufikia kilele chake…

Read More

Mawakala wa meli Tanzania wataja kero, Waziri atia neno

Dar es Salaam. Mawakala wa meli Tanzania wametaja kero tatu zinazowatatiza katika shughuli zao ikiwemo gharama kubwa ya usafirishaji wa mizigo kwa njia ya barabara. Changamoto nyingine ni utozaji wa kodi kwenye meli kabla ya kutia nanga tofauti na utaratibu wa kimataifa unaoelekeza meli itozwe kodi baada ya kufunga kitendo ambacho kwao kinawatengenezea hasara. Kero…

Read More

Vyama vya siasa Mwanza vyaiomba INEC posho ya mawakala

Mwanza. Baadhi ya vyama vya siasa mkoani Mwanza, vimeiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuangalia uwezekano wa kugharamia posho kwa ajili ya mawakala wa vyama hivyo, wakati wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura. Wakizungumza leo Ijumaa Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari hilo…

Read More