MATI SUPER BRANDS YADHAMINI MAONESHO YA TANZANITE MANYARA TRADE FAIR 2024

  Na Mwandishi Wetu ,Manyara . Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi kupitia kinywaji chake pendwa cha Tanzanite Premium Vodka imedhamini Maonesho ya 3 ya Biashara,Viwanda,Madini na Kilimo ya Tanzanite Premium Vodka yatakayofanyika katika Viwanja vya Tanzanite Kwaraa Stedium Octoba 20-30 mwaka 2024 mjini Babati Mkoani Manyara.Kwa Upande Wake Afisa Masoko Kampuni…

Read More

Makalla amkaribisha Lissu CCM, mwenyewe ajibu

Misenyi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amemkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kujiunga na chama hicho akidai tayari chama chake kimeacha misingi yake. Makalla ameeleza hayo Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Missenyi mkoani…

Read More

Waziri Kombo ajitambulisha kwa Rais wa Zanzibar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), pamoja na Manaibu wake, Mhe. Cosato Chumi (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mhe. Dennis Londo (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia Masuala ya Afrika…

Read More

Watanzania hutumia miaka 10 hadi 15 kujenga nyumba

Dar es Salaam. Licha ya kuwepo kwa mwamko wa wananchi kujenga nyumba kupitia fedha zao za mfukoni, hali inaonyesha kuwa huwachukua wastani wa miaka kumi  hadi miaka 15 kumaliza kujenga nyumba hizo. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Agosti 9,2024 na Mkurugenzi Mkuu  wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Hamad Abdallah, alipokuwa akitoa  taarifa ya shughuli…

Read More

Watanzania kupata ahuaeni ya matibabu

Dar es Salaam. Wakati matarajio ya Watanzania juu ya bima ya afya kwa wote kuanza Julai mosi mwaka huu ‘kuota mbawa’ baada ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2024/2025 yaliyowasilishwa bungeni kutoonyesha mwelekeo wa kuanza hivi karibuni Britam Insurance Tanzania na Benki ya Afrika wamekuja na suluhu….

Read More

LHRC yakosoa mapendekezo muswada wa Sheria ya Uhamiaji

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeeleza wasiwasi wake kuhusu baadhi ya mapendekezo kwenye muswada wa marekebisho ya Sheria ya Uhamiaji, ambao unalenga kutoa hadhi maalumu kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi wenye uraia wa mataifa mengine (Diaspora). LHRC imeainisha changamoto kadhaa zinazoweza kujitokeza kutokana na vifungu vya muswada huo,…

Read More