Mbinu mpya kudhibiti migogoro ya wakulima, wafugaji Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema teknolojia ya uzalishaji wa malisho aina ya Juncao iliyoanza kutumika nchini,  ni suluhisho la kumaliza changamoto za malisho ya mifugo inayowakabili wafugaji kwa nyakati tofauti. Nyasi za Juncao zenye asili ya China zinaweza kutumiwa pia kuzalisha uyoga unaoweza kutumiwa pia kama chakula cha wanyama,…

Read More

TRA ilivyojipanga kutanua wigo wa mapato

Dar es Salaam. Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema mkakati unaondelewa na kuoanisha mifumo ya mamlaka hiyo na taasisi nyingine za Serikali utasadia kupanua wigo wa kodi nchini. Kupitia mpango huo wa kufanya mifumo isomane, amesema wataweza kubaini mwenendo na ukubwa wa biashara za wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali na hatimaye watawasajili…

Read More

JESHI LA POLISI LAWAKAMATA WATUHUMIWA WALIOMBAKA BINTI DAR ES SALAAM – MWANAHARAKATI MZALENDO

Jeshi la Polisi Tanzania limefanikiwa kukamata watuhumiwa saba waliohusika na kupanga na kutekeleza uhalifu uliosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kupitia picha za video zilizomuonesha binti mmoja akifanyiwa vitendo vya ukatili. Taarifa ya Jeshi hilo imeeleza kuwa tukio hilo lilifanyika katika eneo la Swaswa, Jiji la Dodoma, mwezi Mei 2024. Uchunguzi wa polisi umebaini kuwa binti…

Read More

Kesi watuhumiwa mauaji ya Asimwe yapigwa tena kalenda

Bukoba. Zikiwa zimepita siku 52 tangu kukamatwa na kufunguliwa shtaka la tuhuma ya  kumuua kwa kukusudia mtoto mwenye ualbino Asimwe Novath, washtakiwa wanaendelea kusota rumande baada ya kesi yao kupigwa kalenda tena leo. Washtakiwa katika kesi hiyo ya mauaji ya kukusudia namba 17740/2024, iliyoitwa leo Ijumaa Agosti 9,2024, kwa ajili ya kutajwa, wamefikishwa katika Mahakama…

Read More

Utekaji watoto: Marejeo ya ‘Jini Mbuzi’?

Dar es Salaam, Elimu ni ufunguo wa maisha wa jamii yoyote chini ya jua. Zamani Watanzania wengi hawakuwa na Elimu ya kutosha, kilichosababisha Taifa letu kuzorota kiuchumi na kimaendeleo. Bila elimu mtu angeshindwa kupanga maisha yake kwani asingeweza kusoma vipeperushi vya afya na hata kupanga hesabu za mapato na matumizi yake. Wangekosa ajira na wakulima…

Read More

Watafiti Nelson Mandela wagundua dawa ya malaria

Arusha/Dar. Watafiti wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) wamegundua dawa ya kutibu ugonjwa wa malaria isiyo na kemikali. Wataalamu hao kwa kushirikiana na watafiti kutoka taasisi zingine za tiba nchini Kenya (KEMR) na Afrika Kusini wamegundua dawa hiyo mwishoni mwa Julai, 2024 baada ya utafiti wa kina wa miaka…

Read More