Jay Melody kutoana jasho na Diamond, Alikiba TMA

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) leo Agosti 29,2024 imetangaza wanaowania tuzo za muziki nchini, wakianza na vipengele vitatu ambavyo ni ni Mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka, wimbo bora wa taarabu wa mwaka na wimbo bora Afrika Mashariki, Kusini na Magharibi. Katika kipengele cha Msanii Bora wa Kiume wa mwaka,…

Read More

Hii ndiyo nguvu ya kura yako uchaguzi wa serikali za mitaa

Dar es Salaam. Hivi unajua kukosekana kwa kura yako kunaweza kusababisha apatikane kiongozi asiyeakisi kikamilifu matakwa ya jamii? Unajua nguvu ya kura yako katika uchaguzi wa serikali za mitaa inaweza kuamua mustakabali wa jamii unayoishi? Maswali hayo ni machache kati ya mengi yanayoweza kujenga msingi wa nguvu ya kura moja na namna unavyoweza kuathiri matarajio…

Read More

Savio yaifanyia kweli Vijana BDL

TIMU ya mpira ya kikapu ya Savio imetikiswa na Vijana ‘City Bulls’ baada ya kufungwa pointi 77-65 katika Ligi ya mchezo huo Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco  Oysterbay. Savio inayoshika nafasi ya tatu ndani ya msimamo wa Ligi hiyo ikiwa pointi 45 katika mchezo huo ilishindwa kabisa kuonyesha…

Read More

Wazabuni wa vyakula shuleni waidai Serikali Sh21 bilioni

Dodoma. Madeni ya jumla ya Sh21.7 bilioni ya wazabuni wa vyakula katika shule za msingi na sekondari kwa mwaka 2023/24 yamewasilishwa hazina kwa ajili kuhakikiwa na kulipwa. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Agosti 29, 2024 na Naibu Waziri wa Nchi-Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Zainab Katimba alipokuwa akijibu swali la…

Read More