Dube bado haamini kilichotokea! | Mwanaspoti
BAADA ya kutoa asisti ya bao pekee katika derby Yanga na Simba Juzi mechi ya pili ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, mshambuliaji mpya wa kikosi hicho Prince Dube amefunguka kuwa haamini kama hakutikisa nyavu mbele ya Wekundu hao. Dube ambaye alisajiliwa dirisha hili akitokea Azam FC, ni miongoni mwa washambuliaji wanaosifika kwa kuisumbua…