MKURUGENZI MTENDAJI WA CRDB ATETA NA MAAFISA WA SERENGETI BREWERIES KATIKA MAONESHO YA NANE NANE DODOMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, pamoja na maafisa waandamizi wa benki hiyo, walifanya ziara maalum katika banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma leo. Ziara hiyo ililenga kujionea na kujifunza zaidi kuhusu shughuli zinazofanywa na kampuni hiyo katika uzalishaji wa bia, hasa kupitia mazao wanayonunua moja kwa…

Read More

Msigwa: Hakuna chama zaidi ya CCM

Karagwe. Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema Tanzania hakuna chama cha siasa kinachoweza kufanya kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo zaidi ya CCM, hivyo amewataka wananchi wasishawishike na wapinzani. Msigwa ameeleza hayo leo kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera ikiwa…

Read More

Simba, Yanga kukipiga tena Oktoba 19, 2024

Wakati ukiendelea kutafakari matokeo ya Derby ya Kariakoo iliyopigwa jana kwa Simba kulala kwa bao 1-0 mbele ya watani zao Yanga, timu hizo mbili zitakutana tena Oktoba 19, mwaka huu kwenye mechi ya Ligi Kuu. Mchezo huo utakuwa wa duru ya nane ya ligi ambapo Simba itakuwa mwenyeji wa Yanga na katika ratiba ya awali…

Read More

Vilio vyatawala mwili wa Mchungaji Kantate ukiagwa Kisamo

Moshi. Vilio na simanzi vimetawala katika usharika wa Kisamo, Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), wakati wa kuaga mwili wa Mchungaji Kantate Munisi (42) ambaye atazikwa leo, usharikani hapo. Wakati mwili wa mchungaji huyo ukiagwa kanisani hapo leo Agosti 09, 2024, mamia ya waombolezaji waliofika kushiriki ibada ya Maziko, walishindwa…

Read More

BRITAM INSURANCE TANZANIA NA BANK OF AFRICA TANZANIA ZASHIRIKIANA KUONGEZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA BIMA ZA AFYA TANZANIA

  Dar es Salaam, Tanzania – Agosti 07, 2024 – Britam Insurance Tanzania na Bank of Africa zashirikiana kuongeza upatikanaji wa huduma za Bima za Afya Tanzania ziitwazo ‘Amani Health’ na ‘Afya Care’ Ushirikiano huo unalenga kuongeza wigo mpana kwa wateja wa ‘Bank of Africa’ ili kuhakikisha kuwa watu binafsi, familia, wafanyabiashara na vikundi rasmi…

Read More

Rais Samia akoshwa na NMB, asema Kazi iendelee

Mwandishi Wetu,Dodoma BENKI ya NMB imepandisha kiwango cha mikopo kwa wakulima na wafugaji kutoka Shilingi Bilioni 730 mwaka 2021 hadi Shilingi Trilioni 1.6 mwaka huu 2024 huku ikiweka mkakati wa kuinua sekta hiyo. Kutolewa kwa mikopo hiyo kumesaidia kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji kwani kiasi cha Shilingi bilioni 505 ni mikopo ya wafugaji kwa…

Read More