Deni la Zanzibar ni himilivu -Rais Mwinyi

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakusanya shilingi bilioni 300 kila mwaka kwa kulipa madeni na Serikali inaweza kulipa deni lolote na bado ni himilivu. Dkt.Mwinyi aliyasema hayo leo tarehe 8 Agosti 2024 ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake alipozungumza na Kamati…

Read More

Mshukiwa wa njama ya mauaji kwenye tamasha la Taylor Swift ‘alipanga kuua watu wengi iwezekanavyo’

Polisi nchini Austria wamewahoji vijana watatu wanaoshukiwa kupanga shambulizi la kujitoa mhanga katika onyesho la Taylor Swift wikiendi hii. Mashirika ya kijasusi ya kigeni yalisaidia mamlaka kufichua mpango huo unaodaiwa, kulingana na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo Gerhard Karner. Chanzo kinachofahamika kiliiambia CNN kwamba Marekani ilitoa onyo kwa mamlaka mjini Vienna. Waandalizi…

Read More

Changamoto za wadau wa usafiri majini kutatuliwa

Serikali imesema changamoto zinazowakabili wadau wa Bandari Kavu na Mawakala wa meli nchini zitatuliwa haraka iwezekanavyo ili waweze kufanya kazi katika mazingira mazuri na kuchangia kuinua mapato ya Serikali. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile (Mb) leo tarehe 07 Agosti, 2024, jijini Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya kutembelea bandari…

Read More