CHANGAMOTO YA ARDHI NA TEMBO KARAGWE, ZATUA KWA NCHIMBI
-Azitolea maelekezo, -Amshukuru Waziri Mkuu kumuagiza Naibu Waziri haraka masuala ya NIDA Kagera Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amemuelekeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki kuifanyia kazi na kupata ufumbuzi wa changamoto ya wanyama waharibifu wanaovamia makazi ya watu, kuharibu mazao na kutishia uhai wa binadamu, Wilaya ya…