Yemi Alade agonga kolabo na Ziggy Marley kwenye ‘Rebel queen’
STAA wa muziki wa AfroPop Yemi Alade ametoa albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Rebel Queen’ ambayo inapatikana kupitia mtandao wa muziki wa Effyzzie Music. Anaripoti Joseph Shaluwa, Dar es Salaam … (endelea). Katika albamu hiyo amewashirikisha nyota kadhaa wa muziki duniani, akiwemo gwiji Ziggy Marley ambaye ni mtoto wa mkali wa Regger…