PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 9,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 9,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 9,2024 Featured • Magazeti About the author
Sima Bahous, Mkurugenzi Mtendaji wa UN Womenambayo inatetea usawa wa kijinsia duniani kote, aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalama kwamba upunguzaji unafanywa na baadhi ya serikali licha ya kuongezeka kwa migogoro na ukosefu wa usalama. “Inapingana na ukweli kwamba, katika kukabiliana na viwango vya migogoro na vurugu ambavyo havijawahi kushuhudiwa, idadi ya askari wa kulinda…
Hadi sasa Rahimi anaongoza kama mfungaji bora kwa kupachika mabao manane, wakati kukitarajiwa fainali kati ya Uhispania na bingwa wa mwaka 1984 wa Olimpiki, mwenyeji Ufaransa, siku ya Ijumaa (Agosti 9). Kwenye mchezo wa hoki, Uholanzi iliibwaga Ujerumani 2-1 na hivyo kuibuka na medali ya dhahabu, ikiwa ni ya kwanza kwa timu yake ya wanaume zangu…
Maoni na Lin Zhuo (bangkok, Thailand) Alhamisi, Agosti 08, 2024 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Agosti 08 (IPS) – Kufuatia jitihada zinazoendelea na zilizodhamiriwa, Afŕika imepata mafanikio katika kuendeleza uanzishwaji wa wakala wa Ukadiriaji wa mikopo wa Afŕika (ACRA), huku pendekezo la uzinduzi likipangwa kufanyika Desemba 2024. Hivi majuzi zaidi, Mfumo wa Mapitio ya Vijana…
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kitendo alichofanyiwa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo, ni kinyume cha sheria na maadili ya Mtanzania. Amesema binti huyo kwa sasa yupo kwenye mikono salama ndani ya moja ya vituo vya mkoa wake, akipata elimu ya unasihi itakayomsaidia kujikuza katika maisha yake…
Serikali imesema ipo katika mipango ya kuboresha mifumo ya utoaji huduma sekta binafsi ikiwemo kutengeneza mazingira rafiki katika nyanja mbalimbali jambo ambalo lisaidia kuongeza tija kwa kuongeza mapato kupitia kodi. Akizungumza jijini Dar es Salaam Agosti 7, 2024 akiwa katika ziara ya kukagua na kusikiliza changamoto za Bandari Kavu ya Bravo, AGL na Kampuni…
“Ni matokeo mabaya lakini yenye kutupa maono wapi tunaelekea kwenye ujenzi wa kikosi chetu bora msimu huu (wa 2024/25). Tunakila sababu ya kujivunia maendeleo ya Project yetu ya muda mrefu iliyohusisha wachezaji wengi wapya wenye vipaji vikubwa na umri mdogo. Wana Simba matokeo ya leo (kufungwa bao 1-0…
Mkataba wa Uhalifu wa Mtandao wa Kimataifa: Usawa nyeti kati ya usalama na haki za binadamu. Credit: Unsplash/Jefferson Santos Kupitia UN News na Thalif Deen Alhamisi, Agosti 08, 2024 Inter Press Service Agosti 08 (IPS) – Mkataba mpya wa Uhalifu wa Mtandao wa Umoja wa Mataifa, ambao unatarajiwa kupitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa…
Klabu ya Azam FC imefanikiwa kutinga Fainali ya Michuano ya Ngao ya Jamii kwa kuifunga Coastal Union mabao 5-2 katika mchezo wa Nusu Fainali uliopigwa uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Mabao ya Azam FC katika mchezo huo yalifungwa Gibril Sillah dakika ya 13′, Feisal Salum ‘Feitoto’ dakika ya…
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Yanga sc baada ya Kuichapa Simba bao Moja kwa bila, Mechi ya Ngao ya Jamii iliyopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Rais ameandika “Hongereni Yanga kwa ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wa Ngao ya Jamii. #KariakooDerby” …