MWAROBAINI WA MAWAKILI VISHOKA HUU HAPA

  Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Pindi Chana akizungumza na wananchi kwenye banda la kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia kwenye maonesho ya nanenane viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu, DODOMA WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Pindi Chana ametaja mikakati mbalimbali ya kufikisha huduma za kisheria kupitia…

Read More

Nyuma ya pazia matumizi ya P2 na misoprostol

Dar es Salaam. Kama wewe ni mtumiaji wa dawa za dharura za kuzuia ujauzito ‘Emergence Contraceptive Pills’ vidonge maarufu kama P2 au dawa zinazotumiwa ndivyo sivyo na wengi kutolea mimba misoprostol, huenda kuna mengi usiyoyajua kuhusu matumizi sahihi na zaidi ya dawa hizo. Wataalamu wa afya wamebainisha kuwa dawa hizo tofauti na zinavyotumiwa ndivyo sivyo…

Read More

Maxi aiua Simba Kwa Mkapa, yaifuata Azam fainali Ngao

YANGA wameendeleza ubabe wao kwa Simba baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa nusu fainali  ya Ngao ya Jamii uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mchezo huo uliokuwa na amshaamsha nyingi mwanzo hadi mwisho, Maxi Nzengeli ndiye aliyepeleka kilio Msimbazi kwa bao lake dakika ya 44 kipindi cha kwanza. Mchezo…

Read More

Samia afunguka ununuzi ‘mashangingi’ ya Serikali

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewajibu watu ambao wamekuwa wakiisema Serikali kuhusu matumizi ya fedha nyingi katika ununuzi wa magari ya watendaji wa mikoa na wilaya, badala ya kununua matrekta kuwezesha wakulima. Amesema kila kinachofanyika ndani ya Serikali huwa kinaendana na mipango iliyowekwa. Aprili mwaka huu, kuliibuka mvutano katika mitandao ya kijamii baada…

Read More

Pinda: Watanzania kuleni mboga za majani kuepuka matatizo ya kiafya, udumavu

Morogoro. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amesisitiza kwamba udumavu kwa watoto nchini ni tatizo kubwa linalotokana na ukosefu wa maarifa kuhusu lishe bora. Akizungumza leo Alhamisi Agosti 8, 2024 mjini Morogoro alipokuwa akifunga maonesho ya wakulima Nanenane Kanda ya Mashariki, Pinda amesema watu wengi wanakula kwa ajili ya kujaza tumbo badala ya kuzingatia virutubisho muhimu….

Read More

Bashe atangaza operesheni wavamizi Nanenane

Dodoma/Dar. Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe ametangaza operesheni maalumu ya kuwaondoa watu waliovamia maeneo ya viwanja vya maonyesho ya wakulima vya Nzuguni (Dodoma) na Mwakangale (Mbeya). Bashe ameyasema hayo leo Alhamisi Agosti 8, 2024 katika kilele cha maadhimisho ya sherehe za wakulima Nanenane zilizofanyika Nzuguni jijini Dodoma, huku mgeni rasmi akiwa ni Rais…

Read More