INEC kukutana na wadau wa uchaguzi Mwanza,Shinyanga
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Wadau wa uchaguzi kutoka mikoa ya Mwanza na Shinyanga kesho watakutana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kuzungumzia Uboreshaji wa Darftari la Kudumu la Mpiga Kura katika mikoa yao wakati wa mzunguko wa tatu wa uboreshaji. Akizungumzia maandalizi ya Mkutano huo, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya…