Camara aanza na jezi ya Manula Kwa Mkapa
KOCHA Miguel Gamondi ameanza na kikosi chenye sura tatu mpya tofauti, huku kocha wa Simba Fadlu Davids akiwa na nyota sita kati ya 13 waliosajiliwa hivi karibuni, lakini sapraizi ni kipa Moussa Camara akikadhibiwa jezi namba 28 iliyokuwa ikitumiwa na kipa namba moja wa timu hiyo Aishi Manula. Manula aliyesahaulika katika utambulisho wa kikosi hicho…