Diwani na wenzake 10 washtakiwa kwa kuingia Msitu wa Kilombero, watupwa mahabusu

Kilombero. Diwani wa kata ya Mbingu iliyopo Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, Nestory Peter na wenzake 10 wamefikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili za kuingia na kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya hifadhi ya msitu wa asili wa Kilombero (KNR). Katika kesi hiyo namba 24675/2024, Wakili wa Serikali, Dastan William amewasomewa shtaka hilo washtakiwa wote kwa…

Read More

MHANDISI SANGA AKAGUA ENEO LA SAMIA ARUSHA AFCON CITY

  Na Munir Shemweta, WANMM Katibu Mkuu wzara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amekakagua eneo la Mradi wa Samia Arusha AFCON City (SAAC). Eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 4,555.5 lipo Kata ya Olmot na Olasiti katika Jiji la Arusha na limepakana na miradi miwili ya viwanja vitakavyotumika kwenye mashindano ya Afcon…

Read More

VIDEO:Balaa la Mboso alivyopokelewa Bukoba,mashabiki washindwa kujizuia

Msaanii Mbosso kutokea katika record lebal ya WCB amewasilia katika viunga vya manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera na kupitishwa katika maeneo tofauti tofauti ya Manispaa ya Bukoba huku akishare love na mashabiki zake waliojitokeza kwa wingi kumpokea huku wengine wakimsubilia barabarani. Mbosso amewasili Mkoani Kagera kwa ajili ya Show kubwa ya Muleba Festival inayotarajia kufanyika…

Read More